butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,349
- 7,414
Kumbe unampata Mkuu,kudhurumu sana Viwanja vya watu Salasala!Alikuwa dhulmati sana huyu.
Kumbe unampata Mkuu,kudhurumu sana Viwanja vya watu Salasala!Alikuwa dhulmati sana huyu.
Apumzike anapostahili 🥲Mzee alikua ni master kabisa...walienda walioenda na hakucheka na mtu! Ila mwishoni aliokoka kweli na trakea ikawa kanisa badala ya baa...woiso wa Wop ni kijana mdogo sana...sidhani hata kama 44 anafika...ila kwa umri wa woiso kulikua hamna namna ya namna ya kutafuta hela kipindi chao...hela ilikua haipatikani instagram ilibidi uichukue kwa watu!
Nampata sana kuna wakati nilikuwa na ukaribu naye sana lakini kwa jinsi alivyokuwa anawaliza watu nikaamua kuwa naye mbaliKumbe unampata Mkuu,kudhurumu sana Viwanja vya watu Salasala!
Ilikuwa hamna namna 😆😆😆😆😂ila kwa umri wa woiso kulikua hamna namna ya namna ya kutafuta hela kipindi chao...hela ilikua haipatikani instagram ilibidi uichukue kwa watu!
😅😅😅IPTL ipo Salasala na shule za Lesheya zipo Salasala pia na siyo Tegeta.
Sema Mzee alikuwa tapeli wa Viwanja sana pamoja Bujugo wa Green Acres schools!
Mkuu kuna wakati nakula konyagi yangu nawaangalia watoto wangu naishia kucheka tu...nawaambia nyie mnapata hela kirahisi sana sa hv...ila kuna vitu ukihadithiwa utaona either uwongo au movie..kuna wakati inabidi uchukue hela za watu kinamna vyovyote tu hamna jinsi!Ilikuwa hamna namna 😆😆😆😆😂
Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
Pole kwa Wafiwa,Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
Ila ukiangalia watu wanavyopata pesa sahv na ukivuta picha miaka 80s mtu hana shamba wala kazi rasmi sasa sijui mtu kama huyu namma nyingine ya kupata pesa itakuwa ni ipi 😀Mkuu kuna wakati nakula konyagi yangu nawaangalia watoto wangu naishia kucheka tu...nawaambia nyie mnapata hela kirahisi sana sa hv...ila kuna vitu ukihadithiwa utaona either uwongo au movie..kuna wakati inabidi uchukue hela za watu kinamna vyovyote tu hamna jinsi!
Hamna namna mkuu ni kuchukua za watu tu! Change of ownership!Ila ukiangalia watu wanavyopata pesa sahv na ukivuta picha miaka 80s mtu hana shamba wala kazi rasmi sasa sijui mtu kama huyu namma nyingine ya kupata pesa itakuwa ni ipi 😀
Mkuu wewe very soon unajinyonga .....hebu tafuta mshauri mkuuu kam una HIV sio mwisho wa maisha ....ila kunywa dawa vizuri maana ikifika AIDS hata nguvu ya kujinyonga utakuwa huna ...Amewahi kabla yangu
RIP MZEE
Aliokoka baada ya wanajeshi kutaka kumtoa kafara, early ninetyth issue ya bia za dealsAmeliza watu wengi sana halafu anajifanya mlokole
Halafu wewe jamaa weweR.i.P Classmate....😥
Ngoja nifanye niwahi msibani
RIP NduguMzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
Wewe ni kesho mkuu utawahi pia,Amewahi kabla yangu
RIP MZEE
RIP boss wake J4Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
HapanaAweza kuwa mwenyewe