Nitakua Mtetezi wa wanyonge.... Masikini Wanafunzikamanda Magufuli ni chaguo la Mungu. jinsi wananchi walivyokuwa wakisali kumpata mtu ambaye atapambana na ufisadi ndio huyu tumempata. unataka nini tena. unataka mafisadi ndio watawale au ?hatukuelewi! njoo kivingine
kamanda wabaka demokrasia wa kwanza ni upinzani wetu.Safi sana chama kikuu cha upinzani. Say no kwa wabaka demokrasia
Mkuu usichanganye mambo, usichanganye habari.kamanda Magufuli ni chaguo la Mungu. jinsi wananchi walivyokuwa wakisali kumpata mtu ambaye atapambana na ufisadi ndio huyu tumempata. unataka nini tena. unataka mafisadi ndio watawale au ?hatukuelewi! njoo kivingine
Hizi habari njema sana Mkuu Molemo.
Lakini , Hivi huwa haiwezekani kuziandika kwa lugha ya kawaida tu? Maana inapotumika lugha nzito kama "CHADEMA KUITEKA NCHI" n.k, Huwapa hofu sana hawa "VILAZA WA MWENDO KASI, na usishangae kusikia mikutano inapigwa marufuku!
Viva ukawa[/? OTE]
ukawa ipi. ukawa asilia au ukawa hii iliyovamiwa na mafisadi ?
Haki ya Kufanya mikutano kwenye vyama vya siasa ni sawa au si sawa?kamanda wabaka demokrasia wa kwanza ni upinzani wetu.
-demokrasia kubwa na ambayo haitasahaulika kwa wanachama ni jinsi tulivyompata mgombea urais. ile ilikuwa aina gani ya demokrasia? kiasi cha kumfanya kamanda Dr Slaa na Lipumba kutimka ukawa?
hawatakujibu zaid ya matusi mkuuDuh! Kweli tumepoteza mechi kama taifa staaa.
Kwahiyo hiyo Agenda ya Jamaa hafuati katiba ndio tunaingia nayo mkoa na kifua cha tongwa! Hakuna agenda nyingine maana Ile ya Ufisadi ilitupwa mtaroni?
kamanda wabaka demokrasia wa kwanza ni upinzani wetu.
-demokrasia kubwa na ambayo haitasahaulika kwa wanachama ni jinsi tulivyompata mgombea urais. ile ilikuwa aina gani ya demokrasia? kiasi cha kumfanya kamanda Dr Slaa na Lipumba kutimka ukawa?
kwa hiyo unataka uchaguzi urudiwe au mpaka 2020. sikuelewi, kwa muda unaofaa kwa Mungu itakuwa lini.Mkuu usichanganye mambo, usichanganye habari.
Ni kweli watu walisali, tena sana. Lakini vile vile bado watu wanasali tena sana. Hitaji kuu ni kiongozi imara na thabiti.
Ktk hili tumwache Mungu akujibu kwa namna na muda ufaao kwake
Usitutoe kwenye Mada hapa ni kuhusu kushugulikiwa kwa Magamba tuWana JF naomba msaada. Huyu Jesca anayetajwa sana humu mbona nachanganyikiwa??? Mi najua ni mke wa tumbili ... mtoto wa Kishoa ... Au wameachana???!!!
ungejibu swali langu kwanza ingekuwa busara sana. style yako ya kujibu swali inatufanya tu conclude tunayoyawaza yalifanyika namna ambavyo demokrasia ilivyobakwa wakati wa kumteua mgombea wa ukawa.ni lazima tuelezane wazi bila aibu.Vipi kuhusu alivyopatikana mzee wa mwendokasi? Unafikiri haki ilitendeka? Kama hujui basi uliza kwa vilaza wenzio wakuambie sasahivi wanavyojuta kubaka demokrasia na kumpitisha mzee wa mwendokasi
mwezi wa tano na sita ni mwezi mbaya kwa jpm, hata mimi kuna nimenyongeka, lakini na hao chadema mpaka wachukuane wachaga watupu kwa niaba ya chama sipendi, strategy gani hii!
Mkuu ni kwamba kile kinachokatazwa/magendo ndo watu hutafuta kwa udi na uvumbaWamezuia Bunge lakini wanachofanyia gizani wananchi wanakiona
Hivi wale waliokua wanacheza ile nyimbo isemayo ccm ni ile ile ohh ni ile ile hivi baado wapo au wanasoma number mkuu?Enough!enough!enough now...we're tired now.Nchi hatuelewi inakwenda wapi zaidi ya kutafuta mikiki kwenye media,tumechoka.Watu wengi wameshashtuka kwamba walipotea njia.Sukari miezi mi2 sasa imeadimika inauzwa kama madawa ya kulevya.Nasema tumechoka,Inabidi watu wapate funzo kila uchaguzi unapofika,miaka mi5 si ya kuchezea.
kamanda Magufuli ni chaguo la Mungu. jinsi wananchi walivyokuwa wakisali kumpata mtu ambaye atapambana na ufisadi ndio huyu tumempata. unataka nini tena. unataka mafisadi ndio watawale au ?hatukuelewi! njoo kivingine
Hata kiti moto ni nyama inayokatazwa lakini ndio Tamu na ndio inapendwa kuliko nyama zoteMkuu ni kwamba kile kinachokatazwa/magendo ndo watu hutafuta kwa udi na uvumba