Maombi ya kuahirishiwa ziara ya Rais Samia inayotazamiwa kuanza nchini Uturuki

Boniphace Bembele Ng'wita

JF-Expert Member
Dec 25, 2013
3,447
1,814
Wanabodi heshima kwenu wakuu!

Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi toleo la leo 16/04/2024 ukurasa wa 17, kuwa RAIS DR SAMIA
atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mda wa siku 5 kuanzia tarehe 17/04/2024

Naomba nitoe maoni yangu binafsi juu ya hii ziara, kwa kuikumbusha tu taasisi ya Rais:

1) Tunayo mafuriko kule mbeya na rufiji kama sikosei na kuna wananchi hawana makazi
2) Shule zaidi ya 20 zimefungwa kwa sababu ya hali ya hewa na mafuriko kutokana na mvua zinazoondelea kunyesha maeneo tofauti tofauti
3) Sina uhakika kama mawasiliano ya miundombinu imerejeshwa kule mtwara.

Kwangu naona kwa upendo tu RAIS Angeshughulika na mambo ya ndani kama dharura, ili kupoza mioyo ya wananchi ambao kimsingi ndiyo wapiga kura haswa! furaha ya Raia 1 huongeza matumini kwa wengine 1000 zaidi.

Kwa kujua kuwa Mheshimiwa Rais unayo majukumu mengi pokea kama ombi ukiona yafaa unaweza kuisogeza mbele ziara yako ukashughulikia hayo machache ya dharura.

Naweza nisiwe mwandishi mzuri ila ujumbe wangu kwa Rais ni huo.

mr Bonny.

Pia soma > Rais Samia kufanya ziara ya kikazi ya Siku Tano Nchini Uturuki kuanzia Tarehe 17-21 Mwezi huu
 
Wanabodi heshima kwenu wakuu!

Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi toleo la leo 16/04/2024 ukurasa wa 17, kuwa RAIS DR SAMIA
atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mda wa siku 5 kuanzia tarehe 17/04/2024

Naomba nitoe maoni yangu binafsi juu ya hii ziara, kwa kuikumbusha tu taasisi ya Rais,

1) Tunayo mafuriko kule mbeya na rufiji kama sikosei na kuna wananchi hawana makazi
2) Shule zaidi ya 20 zimefungwa kwa sababu ya hali ya hewa na mafuriko kutokana na mvua zinazoondelea kunyesha maeneo tofauti tofauti
3) Sina uhakika kama mawasiliano ya miundombinu imerejeshwa kule mtwara.

Kwangu naona kwa upendo tu RAIS Angeshughulika na mambo ya ndani kama dharura, ili kupoza mioyo ya wananchi ambao kimsingi ndiyo wapiga kura haswa! furaha ya Raia 1 huongeza matumini kwa wengine 1000 zaidi.

Kwa kujua kuwa Mheshimiwa Rais unayo majukumu mengi pokea kama ombi ukiona yafaa unaweza kuisogeza mbele ziara yako ukashughulikia hayo machache ya dharura

Naweza nisiwe mwandishi mzuri ila ujumbe wangu kwa Rais ni huo

mr Bonny.

Pia soma > Rais Samia kufanya ziara ya kikazi ya Siku Tano Nchini Uturuki kuanzia Tarehe 17-21 Mwezi huu

Huna akili
 
Acha watu waende kuangalia akina Ertigul live mkuu. Hizo habari zako za mafuriko zinatuhusu nini sie husomi alama za nyakati?? Kwa sasa ni full bata stuka tunakula vya urithi na vile vya kuomba omba msaada kwa wakubwa.
 
Wanabodi heshima kwenu wakuu!

Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi toleo la leo 16/04/2024 ukurasa wa 17, kuwa RAIS DR SAMIA
atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mda wa siku 5 kuanzia tarehe 17/04/2024

Naomba nitoe maoni yangu binafsi juu ya hii ziara, kwa kuikumbusha tu taasisi ya Rais,

1) Tunayo mafuriko kule mbeya na rufiji kama sikosei na kuna wananchi hawana makazi
2) Shule zaidi ya 20 zimefungwa kwa sababu ya hali ya hewa na mafuriko kutokana na mvua zinazoondelea kunyesha maeneo tofauti tofauti
3) Sina uhakika kama mawasiliano ya miundombinu imerejeshwa kule mtwara.

Kwangu naona kwa upendo tu RAIS Angeshughulika na mambo ya ndani kama dharura, ili kupoza mioyo ya wananchi ambao kimsingi ndiyo wapiga kura haswa! furaha ya Raia 1 huongeza matumini kwa wengine 1000 zaidi.

Kwa kujua kuwa Mheshimiwa Rais unayo majukumu mengi pokea kama ombi ukiona yafaa unaweza kuisogeza mbele ziara yako ukashughulikia hayo machache ya dharura

Naweza nisiwe mwandishi mzuri ila ujumbe wangu kwa Rais ni huo

mr Bonny.

Pia soma > Rais Samia kufanya ziara ya kikazi ya Siku Tano Nchini Uturuki kuanzia Tarehe 17-21 Mwezi huu
Si serikali ipo na wananchi wapo?
 
Kuna mwingine hata hakutokea kuzika watoto waliofariki kwenye mafuriko, Arusha.

Labda haya majanga yanawastress viongozi wetu,

Badala ya kushughulika, wanaona wapumzike kdg nje ya Nchi.

Uchaguzi huu hapa!!

Tusubiri.
 
Tuna kila sababu ya kubariki ziara yake. Nashauri ziara yake ilenge kuwaleta watalii wengi kuja kuzuru nchi yetu lakini isiwe ziara ya kuomba mikopo. Mikopo itakuja kutugharimu sana huko mbeleni.
 
Ila jamani siku tano ni nyingi sana mfano atandoka na ujumbe wa watu 150 gharama shi ngapi
 
Ila jamani siku tano ni nyingi sana mfano atandoka na ujumbe wa watu 150 gharama shi ngapi
 
Awakilishwe na balozi wetu, au rais wa uturuki aje hapa.

Nchi ina upungufu wa fedha za kigeni alafu yeye kutwa kucha kiguu na njia.

Yeye na msafara wake watakwangua vidola vyote bale BOT.
 
Wanabodi heshima kwenu wakuu!

Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi toleo la leo 16/04/2024 ukurasa wa 17, kuwa RAIS DR SAMIA
atafanya ziara ya kikazi nchini Uturuki kwa mda wa siku 5 kuanzia tarehe 17/04/2024

Naomba nitoe maoni yangu binafsi juu ya hii ziara, kwa kuikumbusha tu taasisi ya Rais,

1) Tunayo mafuriko kule mbeya na rufiji kama sikosei na kuna wananchi hawana makazi
2) Shule zaidi ya 20 zimefungwa kwa sababu ya hali ya hewa na mafuriko kutokana na mvua zinazoondelea kunyesha maeneo tofauti tofauti
3) Sina uhakika kama mawasiliano ya miundombinu imerejeshwa kule mtwara.

Kwangu naona kwa upendo tu RAIS Angeshughulika na mambo ya ndani kama dharura, ili kupoza mioyo ya wananchi ambao kimsingi ndiyo wapiga kura haswa! furaha ya Raia 1 huongeza matumini kwa wengine 1000 zaidi.

Kwa kujua kuwa Mheshimiwa Rais unayo majukumu mengi pokea kama ombi ukiona yafaa unaweza kuisogeza mbele ziara yako ukashughulikia hayo machache ya dharura

Naweza nisiwe mwandishi mzuri ila ujumbe wangu kwa Rais ni huo

mr Bonny.

Pia soma > Rais Samia kufanya ziara ya kikazi ya Siku Tano Nchini Uturuki kuanzia Tarehe 17-21 Mwezi huu
Wacha watu wakale bata hadi kuku waone wivu.
 
Akienda utasikia
"Kwani mawaziri na viongozi wengine hawapo, hadi aende kugawa mahindi na ngano"

Asipoenda utasikia
"Rais gani hapendi watu wake, kutwa kusafiri"

Ifike wakati msimame kwenye lengo moja
 
Back
Top Bottom