Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,896
Kama MCC ilivyowakataWamepotea kama sukari mtaani kwangu hahahahahaha
Kama MCC ilivyowakataWamepotea kama sukari mtaani kwangu hahahahahaha
BabaJesca tumekuaachaaa mnoooo ufanye siasa peke yako, sasa ni muda uanze kupata upinzani mkali.
Maana ulikua peke yako, sasa hivi ni jino kwa jino
Narudia..tena Magufuli hafai uongozi..anafaa kuwa manager au supervisor period!
Tuwaunge mkono jamani maana nchi IPO gizan kabisa shetani anachukua nafasi yake
Sikuhizi uzungushi kiuno tena?Wasisahau kutuzungusha mikono..maana tuna hamu kweli
Kwahiyo mnatetemeshwa na Mizuka?wananchi hatutaki ujinga na upumbaf. tangu lini watuhumiwa wa ufisadi wakatetemesha nchi. labda kutetemesha kwa maana ya kutumia mapesa yao kurubuni wananchi na kuwadanganya. hatuko tayari na wala hatuna haja ya kufanya siasa saizi. tayari rais aliyepo ni mchapa kazi fullstop. msitupotezee muda. wananchi kwa sasa wanafanya shughuli zao
wananchi hatutaki ujinga na upumbaf. tangu lini watuhumiwa wa ufisadi wakatetemesha nchi. labda kutetemesha kwa maana ya kutumia mapesa yao kurubuni wananchi na kuwadanganya. hatuko tayari na wala hatuna haja ya kufanya siasa saizi. tayari rais aliyepo ni mchapa kazi fullstop. msitupotezee muda. wananchi kwa sasa wanafanya shughuli zao
Utawala wa Sheria ndio unaenda kubiriwaHahaha.. Mimi nasubiri kuona mnachezea vichapo 2.
Sikuhizi uzungushi kiuno tena?
Sie tulizoeshwa mikono..hadi nilianza kuwa baunsaSikuhizi uzungushi kiuno tena?
Haijalishi, sioni mkimaliza harakati zenu mpya bila kipigo. Cha msingi mjiandae kisakolojia.Utawala wa Sheria ndio unaenda kubiriwa
Hahahahahaha ngoma ikilia sana.........Mkuu kuna mapato ya kila mwezi mbona hatuyasiki tena ccm imefeli kabla hakujakucha