Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,699
- 35,973
Njia unayoitumia nami nimewahi kuitumia.Ujenzi nafanya nikiwa likizo tu,kila kitu nanunua mwenyewe fundi akiniagiza cement mifuko 30 mimi nanunua mifuko 20 tu,mbao 150 mimi nanunua mbao 100 halafu naangalia kama itatosha isipotoshea ndio naagiza mingine. Nafanya hivi kwa sababu mafundi wetu wengi hawajui makadilio walishawahi kuninunulisha mabati 200 zikatumika bati 140 tu 60 zikabaki
Changamoto yake Fundi aliniagiza Tiles boksi 160, nikamletea boksi 130.
Baadaye Tiles zikafeli hivyo kazi kusimama Kwa muda.
Nikalazimika kufata Tiles boksi 25 Kariakoo na nikatakiwa kusubiri maana sikuweza kupata nilizotumia Mwanzo🙌