Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 32,358
- 34,119
Habari wadau wa ufugaji. Kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora ya samaki. Zilizopo nizile ambazo hazikui sana kufikia kiasi cha Sato mkubwa, asilimia kubwa zinakuwa kama perege. Je ni wapi au ni namna gani mfugaji anaweza akawa au akapata mbegu bora ya samaki aina ya Sato inayokuwa kwa muda mfupi na ukubwa wakuridhisha?
View: https://youtu.be/bSr2NRYKATA?si=1vJEkFLo8YFocDrt