Mbegu bora ya samaki ni ipi na je inapatikana wapi?

Habari wadau wa ufugaji. Kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora ya samaki. Zilizopo nizile ambazo hazikui sana kufikia kiasi cha Sato mkubwa, asilimia kubwa zinakuwa kama perege. Je ni wapi au ni namna gani mfugaji anaweza akawa au akapata mbegu bora ya samaki aina ya Sato inayokuwa kwa muda mfupi na ukubwa wakuridhisha?
Kuna Professor SUA Morogoro anazalisha vifaranga na chakula chenye virutubisho kitaalam, anatoa elimu na anasambaza vifaranga vya samaki nchi nzima

Sina contacts zake ila kama una mtu Morogoro muombe akuunganishe naye
 
Je kuna madhara ya kula samaki wa kufugwa na wale wa asili?

Unajuaje huyu samaki wa kufugwa na huyu wa halisia kama wote wameganda?

Je samaki bucha za Ubungo ni wa asili au wakutengenezwa?
 
Je kuna madhara ya kula samaki wa kufugwa na wale wa asili?

Unajuaje huyu samaki wa kufugwa na huyu wa halisia kama wote wameganda?

Je samaki bucha za Ubungo ni wa asili au wakutengenezwa?
1. Amna madhara yoyote ya kiafya kwa walaji wa samaki wa kufugwa

2. Nivigumu kujua kama samaki uliyenunua kwa ajili ya kitoeo ametoka kwenye mazingira ya asili au ni wakufugwa kwa sababu wanafanana kimuonekano tofauti ni mazingira wnayotokea na aina ya species

3. Sina uhakika na hilo supplier mwenye ndio atakuwa anajua, samaki wa hasili ndio wengi sokoni kwa sababu uzalishaji wa samaki wa kufugwa ni mdogo
 
Namashaka na uelewa wako kuhusu samaki, nimekuwa kwenye industry kwa zaidi ya miaka mitatu nimeshuhudia samaki wengi tu ambao wanazaidi ya kilo 1

Fatilia utaona, tembelea sehemu zenye vizimba (cage culture) au miradi mikubwa ya ufugaji samaki au landing site zilizo around Ziwa Victoria utaona samaki wenye hadi 2kg
Watanzania wengi ni wajuaji, hawana utulivu wa kujifunza jambo.
 
Kuna kipindi nilishafuga hao wadudu aina ya sato nikauziwa chakula feki ,kuamka asubuhi nikakuta wamepanda juu ya bwana wote wamekufa.
 
Mkuu hao
Mbegu bora ya samaki ni ile inayozalishwa na wataalamu wa ufugaji samaki zipo taasisi zilizojikita kuzalisha mbegu ya samaki wa kufugwa kama vile Big fish, Eden agri-aqua, SUA n.k

Kwa uzoefu wangu mbegu nzuri kwa samaki aina ya sato ni Nile Tilapia (Oreochromis niloticus) hii ni specie nzuri samaki anaweza kufika hadi uzito wa 1kg - 2kg kama utamfuga na kumlisha vizuri

Pia kama unataka matokeo mazuri nunua vifaranga ambavyo ni madume pekee (mono-sex) samaki madume wanakuwa haraka kuliko majike, ukifuga madume pekee utazuia population na kutengeneza mazingira mazuri kwa samaki wako kukuwa kwa haraka

Karibu kwa ushauli na msaada zaidi kuhusu chochote kuhusiana na ufugaji samaki
Mkuu hao Nile tilapia wanakuwa Tyr kuvunwa baada ya muda Gani kama wamelishwa vzr? Bei yake ya kifaranga kimoja ni sh ngapi na wanapatikana wapi?
acha fiksi wewe hakuna sato mwenye kilo moja duniani
Mkuu wewe wawapi? Mimi sio mfugaji ila nimewahi kuvua samaki mganza chato. Kuna hifadhi inaitwa lubondo huko Kuna sato ukimuona ushangae kg2-3 ni kawaida tu. Karibu ubishane mwenyew mkuu.
 
Niweke sahihi, hoja ilikuwa hakuna sato mwenye kilo moja

Twende kwenye hoja ya pili muda ambao samaki anachukua hadi kufikisha kilo 1 au zaidi

Naomba nijikite kwenye samaki wa kufugwa, muda unategemea na factors kama vile chakula, ubora wa maji na management kwa ujumla

Binafs nimeshuhudia samaki akifikisha 1kg kwenye cage culture
Hajui lolote huyo mkuu kuhusu samaki aina ya sato
 
Mkuu hao

Mkuu hao Nile tilapia wanakuwa Tyr kuvunwa baada ya muda Gani kama wamelishwa vzr? Bei yake ya kifaranga kimoja ni sh ngapi na wanapatikana wapi?

Mkuu wewe wawapi? Mimi sio mfugaji ila nimewahi kuvua samaki mganza chato. Kuna hifadhi inaitwa lubondo huko Kuna sato ukimuona ushangae kg2-3 ni kawaida tu. Karibu ubishane mwenyew mkuu.
Muda sio constant inategemea na soko lako linataka samaki wenye ukubwa au uzito gani

Mara nyingi wanakuwa tayari kuvunwa pale tu wanapofisha uzito wa gram 250 na kuendelea. Kama unawalisha vizuri na wanaishi kwenye maji salama unaweza kuanza kuvuna kuanzia miezi 4 hadi 6.

Wateja wengi wanapenda samaki wanaoingia 3 - 4 kwenye kilo moja wastani wa miezi 6 unatosha kabisa kumfikisha samaki kwenye huu uzito

Pia kibishara inashauliwa kuwauza samaki wako mapema ili kupunguza gharama za kuwalisha na kufanya production cycle kuwa fupi ili atleast kwa mwaka uvune mara mbili

Bei ya kifaranga ni Tsh 250
 

Attachments

  • 7818996db8ab425a83f77981c32cc3b0.jpg
    7818996db8ab425a83f77981c32cc3b0.jpg
    107.1 KB · Views: 2
Muda sio constant inategemea na soko lako linataka samaki wenye ukubwa au uzito gani

Mara nyingi wanakuwa tayari kuvunwa pale tu wanapofisha uzito wa gram 250 na kuendelea. Kama unawalisha vizuri na wanaishi kwenye maji salama unaweza kuanza kuvuna kuanzia miezi 4 hadi 6.

Wateja wengi wanapenda samaki wanaoingia 3 - 4 kwenye kilo moja wastani wa miezi 6 unatosha kabisa kumfikisha samaki kwenye huu uzito

Pia kibishara inashauliwa kuwauza samaki wako mapema ili kupunguza gharama za kuwalisha na kufanya production cycle kuwa fupi ili atleast kwa mwaka uvune mara mbili

Bei ya kifaranga ni Tsh 250
Ahsantee Kwa maelezo Yako. Naweza pata wapi vifaranga hao nipo geita kijijni Kwa Sasa na nimeanza process ya uchimbaji bwawa nianze na bwa Moja kwanza.
 
Ahsantee Kwa maelezo Yako. Naweza pata wapi vifaranga hao nipo geita kijijni Kwa Sasa na nimeanza process ya uchimbaji bwawa nianze na bwa Moja kwanza.
Karibu sisi tunafuga na kuzalisha vifaranga vya Sato pamoja na kambale

Kwa upande wa Sato specie tunayozalisha ni Nile Tilapia (Oreochromis niloticus) na kuna vifaranga vya aina mbili madume (mono-sex) watu na mchanganyiko (mixed sex) wewe unahitaji aina gani?

Ni vyema kama ukiniambia eneo la bwawa lako ni la ukubwa gani ili nikushauli uchukue idadi gani ya samaki
 
Karibu sisi tunafuga na kuzalisha vifaranga vya Sato pamoja na kambale

Kwa upande wa Sato specie tunayozalisha ni Nile Tilapia (Oreochromis niloticus) na kuna vifaranga vya aina mbili madume (mono-sex) watu na mchanganyiko (mixed sex) wewe unahitaji aina gani?

Ni vyema kama ukiniambia eneo la bwawa lako ni la ukubwa gani ili nikushauli uchukue idadi gani ya samaki
 

Attachments

  • VID-20240516-WA0074.mp4
    4.1 MB
Nile Tilapia
 

Attachments

  • VID-20240516-WA0075.mp4
    11.3 MB
  • IMG-20240516-WA0066.jpg
    IMG-20240516-WA0066.jpg
    225.9 KB · Views: 2
  • IMG-20240516-WA0062.jpg
    IMG-20240516-WA0062.jpg
    412.1 KB · Views: 2
  • IMG-20240516-WA0064.jpg
    IMG-20240516-WA0064.jpg
    397.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom