KERO Mazingira ya Kituo cha Daladala cha Kivukoni upande wa Kigamboni hali sio nzuri

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Nyakijooga

Senior Member
Dec 9, 2018
133
226
Tunaopata tabu ni Sisi Wananchi, kwa hali hiii jamani tafadhali halizetu mbaya, Abiria tunakanyaga matope ili tuingie kwenye Daladala.

Hali ni hatari kwa mlipuko wa magonjwa, hii inatia kinyaa hata kupita eneo husika, na mvua hizi zinazoendelea tutarajie hali kuzidi kuwa mbaya.

Mamlaka za Dar es Salaam na Wilaya ya Kigamboni zinazohusika ziko wapi?


Kiga1.jpg

Kiga.jpg
Kiga2.jpg
 
Uchafu ni jadi kwa watawala waafrika, wenye mamlaka watakuja kuomba kura hapo kituoni waendelee kupafanya pachafu
 
Nimepita hapo muda si mrefu kwakweli panakera sana. Hapo inakubidi utembee kwa kuruka ruka kama spiderman
 
Tunaopata tabu ni Sisi Wananchi, kwa hali hiii jamani tafadhali halizetu mbaya, Abiria tunakanyaga matope ili tuingie kwenye Daladala.

Hali ni hatari kwa mlipuko wa magonjwa, hii inatia kinyaa hata kupita eneo husika, na mvua hizi zinazoendelea tutarajie hali kuzidi kuwa mbaya.

Mamlaka za Dar es Salaam na Wilaya ya Kigamboni zinazohusika ziko wapi?

View attachment 2967065
fiisiiiemuuuuuuuuuuuuuu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, kwanza wamshukuru mama yao kwa kazi jema na wasiposhukuru tunawapoteza,
 
Tunaopata tabu ni Sisi Wananchi, kwa hali hiii jamani tafadhali halizetu mbaya, Abiria tunakanyaga matope ili tuingie kwenye Daladala.

Hali ni hatari kwa mlipuko wa magonjwa, hii inatia kinyaa hata kupita eneo husika, na mvua hizi zinazoendelea tutarajie hali kuzidi kuwa mbaya.

Mamlaka za Dar es Salaam na Wilaya ya Kigamboni zinazohusika ziko wapi?

View attachment 2967065
Ndugulile anatucheleweshea maendeleo sana yani.. sijui kama anajua anachokifanya hapo kigamboni
 
Back
Top Bottom