MaT2B
JF-Expert Member
- Jul 12, 2019
- 387
- 969
Mwezi uliopita nilinunua Mayai thelethini ya kuku wa kienyeji.
Kwa ajili ya kula.
Nimetumia mayai kama 10. Halafu ukapita muda kama wiki. Bila kula mayai.
Juzi nikachukua kuchemsha, naona ni kama yameharibika. Yanakuwa yana maji, halafu ile layer nyeupe inakuwa ngumu kweli.
Ukikangaa ndio sio kabisa.
Nimemuuliza muuzaji kasema inatakiwa niyatunze kwenye fridge, eti joto linaharibu mayai.
Lakini nakumbuka nyumbani tulikuwa tunatunza kwenye kabati tuu, na sikuwahi yakiharibika.
Msaada, mayai yanakaa muda gani hadi kuaribika na njia gani ya kutunza.
Mayai yangu 18 ni hasara sana.
Angalizo: mayai ni ya kuku wa kienyeji.
Kwa ajili ya kula.
Nimetumia mayai kama 10. Halafu ukapita muda kama wiki. Bila kula mayai.
Juzi nikachukua kuchemsha, naona ni kama yameharibika. Yanakuwa yana maji, halafu ile layer nyeupe inakuwa ngumu kweli.
Ukikangaa ndio sio kabisa.
Nimemuuliza muuzaji kasema inatakiwa niyatunze kwenye fridge, eti joto linaharibu mayai.
Lakini nakumbuka nyumbani tulikuwa tunatunza kwenye kabati tuu, na sikuwahi yakiharibika.
Msaada, mayai yanakaa muda gani hadi kuaribika na njia gani ya kutunza.
Mayai yangu 18 ni hasara sana.
Angalizo: mayai ni ya kuku wa kienyeji.