Habari wana jamii!
Ukiwa unapita kariakoo utasikia matangazo ya biashara mengi yaliyo rekodiwa na mara nyingi huwa yanafanana sauti Kana kwamba ni mtu mmoja ama yawezekana kuwa ni mtu mmoja.
Ni wapi naweza kupata mtu ama office inayofanya shughuli hizo za utamgazaji wa biashara kwa njia ya sauti?
Ukiwa unapita kariakoo utasikia matangazo ya biashara mengi yaliyo rekodiwa na mara nyingi huwa yanafanana sauti Kana kwamba ni mtu mmoja ama yawezekana kuwa ni mtu mmoja.
Ni wapi naweza kupata mtu ama office inayofanya shughuli hizo za utamgazaji wa biashara kwa njia ya sauti?