Matangazo ya biashara ya Kariakoo yanarekodiwa na mtu mmoja?

Abega95

New Member
Jan 14, 2023
3
6
Habari wana jamii!

Ukiwa unapita kariakoo utasikia matangazo ya biashara mengi yaliyo rekodiwa na mara nyingi huwa yanafanana sauti Kana kwamba ni mtu mmoja ama yawezekana kuwa ni mtu mmoja.

Ni wapi naweza kupata mtu ama office inayofanya shughuli hizo za utamgazaji wa biashara kwa njia ya sauti?
 
Habari wana jamii!

Ukiwa unapita kariakoo utasikia matangazo ya biashara mengi yaliyo rekodiwa na mara nyingi huwa yanafanana sauti Kana kwamba ni mtu mmoja ama yawezekana kuwa ni mtu mmoja.

Ni wapi naweza kupata mtu ama office inayofanya shughuli hizo za utamgazaji wa biashara kwa njia ya sauti?
NI mtu huyohuyo nchi nzima hata ukienda Mbinga kule ziwani utamsikia ni huyohuyo
 
Habari wana jamii!

Ukiwa unapita kariakoo utasikia matangazo ya biashara mengi yaliyo rekodiwa na mara nyingi huwa yanafanana sauti Kana kwamba ni mtu mmoja ama yawezekana kuwa ni mtu mmoja.

Ni wapi naweza kupata mtu ama office inayofanya shughuli hizo za utamgazaji wa biashara kwa njia ya sauti?
Inategemea unataka tangazo liweje na unabudget gani ya kurekodiwa tangazo lako!!!
 
Nafikiri kuna vijana wengi wanaofanya kazi hiyo ya kuandaa matangazo ambayo yanakuwa customized kutegemea na jina la biashara ya muuzaji na pia aina ya biashara yake na mahali ilipo.
 
Mi ni music producer kukutengenezea tangazo ni kitu chepesi mno. Tuwasiliane humu tuweze fanikisha jambo lako 0716183144
 
Back
Top Bottom