Marekani yazuia silaha kwenda Israeli. Ni vilio kila kona kwa wanasiasa wa Marekani wanaofadhiliwa na Taasisi ya AIPAC.

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
10,040
16,922
Rais Joe Biden ametoa msimamo wake kuwa Marekani haitakuwa tayari kupeleka silaha Israel endapo Israel itaendelea na mpango wake wa kuvamia eneo la Rafah huko Gaza.

Tamko hili limemtoa nyoka pangoni ambapo imedhihirika bayana kuwa wabunge wengi wamepinga jambo hilo huku ikibainika kuwa wabunge hao walipokea mamilioni ya dola kutoka katika taasisi ya AIPAC ambayo ina ushawishi mkubwa sana kwenye taifa la marekani. Fedha hizo ndio huwawezesha kushinda uchaguzi na kuapa kuwa watakua upande wa Israeli kwa namna yeyote ile. Mambo yote hadharani.
Wananchi wa marekani wameshikwa na hasira sana baada ya kugundua kuwa bunge la marekani lipo mfukoni mwa hiyo Taasisi ambayo nayo haikuficha imeweka wazi kila kitu. Wamarekani wanajiuliza kati ya israeli na marekani nani anapaswa kupewa kipaumbele?
Naona mpasuko mkubwa sana katika siasa za marekani kwa siku za mbele hasa baada ya jambo hili kujulikana.

Israel kabaki njiapanda hajui afanye nini kwa sasa anategemea huruma za Joe Biden na wabunge huo kupiga kelele ili aweze kupatiwa mabomu hayo kwenda kuuwa watoto huko Rafah.

Hili ni somo kubwa sana kwa Israel kuwa usitegemee kula ukanye kwenye choo cha jirani mwenyewe akikataa unajinyea.
 

Attachments

  • Screenshot_20240509_083455_X.jpg
    Screenshot_20240509_083455_X.jpg
    130.8 KB · Views: 4
Usiiamini USA pale inapotoa kauli ya kwenda kinyume na mahitaji ya Israel. Ukisikia Politics, ndo hizo.
Tatizo ni kuwajambisha wayahudi katikati ya vita .wanategemea mzigo ufike mapema ila ndio kama hivyo ucheleweshaji unawaathiri wao. Hii ndio shida ya kutegemea kunya kwenye choo cha jirani akitishia kidogo kufunga choo unaweza kujinyea.
 
Rais Joe Biden ametoa msimamo wake kuwa Marekani haitakuwa tayari kupeleka silaha Israel endapo Israel itaendelea na mpango wake wa kuvamia eneo la Rafah huko Gaza.

Tamko hili limemtoa nyoka pangoni ambapo imedhihirika bayana kuwa wabunge wengi wamepinga jambo hilo huku ikibainika kuwa wabunge hao walipokea mamilioni ya dola kutoka katika taasisi ya AIPAC ambayo ina ushawishi mkubwa sana kwenye taifa la marekani. Fedha hizo ndio huwawezesha kushinda uchaguzi na kuapa kuwa watakua upande wa Israeli kwa namna yeyote ile. Mambo yote hadharani.
Wananchi wa marekani wameshikwa na hasira sana baada ya kugundua kuwa bunge la marekani lipo mfukoni mwa hiyo Taasisi ambayo nayo haikuficha imeweka wazi kila kitu. Wamarekani wanajiuliza kati ya israeli na marekani nani anapaswa kupewa kipaumbele?
Naona mpasuko mkubwa sana katika siasa za marekani kwa siku za mbele hasa baada ya jambo hili kujulikana.

Israel kabaki njiapanda hajui afanye nini kwa sasa anategemea huruma za Joe Biden na wabunge huo kupiga kelele ili aweze kupatiwa mabomu hayo kwenda kuuwa watoto huko Rafah.

Hili ni somo kubwa sana kwa Israel kuwa usitegemee kula ukanye kwenye choo cha jirani mwenyewe akikataa unajinyea.
Wewe hujui mambo ya geopolitics. Ulitaka uelezwe wazi kuwa ataendelea kupeleka? Elewa kuwa bond kati ya Israel na Marekani ni unbreakable.
 
Wewe hujui mambo ya geopolitics. Ulitaka uelezwe wazi kuwa ataendelea kupeleka? Elewa kuwa bond kati ya Israel na Marekani ni unbreakable.
Sasa wewe unachokataa ni nini? Au nikuwekee hapa barua iliyoandikwa na bunge la marekani kwenda kwa rais Biden kulalamika kuzuiwa kwa msaada wa silaha kwenda israeli ndio utaamini?
 
Tatizo ni kuwajambisha wayahudi katikati ya vita .wanategemea mzigo ufike mapema ila ndio kama hivyo ucheleweshaji unawaathiri wao. Hii ndio shida ya kutegemea kunya kwenye choo cha jirani akitishia kidogo kufunga choo unaweza kujinyea.
lzm silaha zitumwe hii ni danganya toto tu
 
Hakuna sheria inayokataza watu wasisaidiane kwenye vita
Wewe kama hupendi watu wasaidiwe ni wewe ila watu wataendelea kusaidiana ndo maisha yako hivyo
Sasa kwani msaada ni lazima? Mbona kama wanalazimisha?
 

Attachments

  • Screenshot_20240509_104223_X.jpg
    Screenshot_20240509_104223_X.jpg
    207.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom