Marekani watoa sharti kwa Qatar kwamba HAMAS wafukuzwe mara moja kama watakaidi azimio la sasa la Israel

HAMAS magaidi wa uislamu wamejificha ndani ya kina mama na watoto, kila wakiguswa dunia inalia lia, inabidi Israel watumie nguvu nyingi sana kutenganisha watoto na hao magaidi wenu.
Hao huko Qatar ni viongozi wa kisiasa....
Kwa hiyo viongozi wa kisiasa wa HAMAS siyo magaidi au siyo?
Naona unarukaruka tu kwa kujicontradict.
 
Sasa kama HAMAS ni magaidi na USA inawatambua kama Magaidi kwa nini haiiambii Qatar iwakamate viongozi wake wakuu ili washitakiwe?. Kwa nini inaishia kusema kuwa iwafukuze tu?

Ndiyo maana ninakwambia wewe Islamophobe MK254 kuwa unashangilia vitu usivyovijua!. Hao HAMAS wamesaidiwa na Israel kuwa hapo walipo ili kuvuruga umoja wa wapalestina wasiwe sauti moja katika kudai Taifa lao!
kama walisaidiwa kisha wakageuka mwiba kwa nini wasinyukwe?
 
Mafichoni , kwani umekuwa msemaji wao au uliwaficha wewe??
swali gani hili la kitoto? Uliza swali la kiutu uzima. Mmezidi mno kutetea hao magaidi ndugu zenu huko kwenye majengo yenu mnakokutana kufanya ibada zenu za sanamu. Mnalishana matango pori na kujazana chuki za kuwachukia waisraeli. Ukute we ni mswahili tu wa bongo mla mihogo na kachumbari umejazwa chuki na kuharibiwa akili zako
 
10 The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry.”

11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given. 12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”
*******************************************
Which verse up there is talking about gays...!!! You must be a jihadist trying to pervert the word of God.
 
10 The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry.”

11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given. 12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”
*******************************************
Which verse up there is talking about gays...!!! You must be a jihadist trying to pervert the word of God.

Umenukuu biblia ipi kijana ?? kwani eunuchs ni nani ??

Deuteronomy 23:1-6 No eunuch is to enter the congregation of GOD. No bastard is to enter the congregation of GOD, even to the tenth generation, nor any of his children. No Ammonite or Moabite is to enter the congregatio | The Message (MSG)
 
swali gani hili la kitoto? Uliza swali la kiutu uzima. Mmezidi mno kutetea hao magaidi ndugu zenu huko kwenye majengo yenu mnakokutana kufanya ibada zenu za sanamu. Mnalishana matango pori na kujazana chuki za kuwachukia waisraeli. Ukute we ni mswahili tu wa bongo mla mihogo na kachumbari umejazwa chuki na kuharibiwa akili zako

Afadhali swali la kitoto kuliko hilo lako la kisenge ?? Mumezidi mno kutetea mashoga huko kwenye majengo yenu mnayokkutana kufanya ibada za kuabudu mtu.
Mnajazana matango pori ya kuwabariki mashoga Waisraeli .

https://blogs.timesofisrael.com/israel-is-the-gayest-country-on-earth/


 
10 The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry.”

11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given. 12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”
*******************************************
Which verse up there is talking about gays...!!! You must be a jihadist trying to pervert the word of God.
Mkuu; Huyo Jamaa amekaririshwa au hajui asemalo. Anatafsiri maandiko kinyume na yalivyoandikwa na maana yake.
Eunuchs = Towashi = mwanaume aliyehasiwa, mwanaume aliyetengwa kuwahudumia au kuwatunza wake wa Mfalme au mabinti wa Mfalme n.k.
Mwanaume Towashi anaweza kuwa ni mwanaume rijali kabisa lakini hakutaka(Amekataa kwa hiari yake) kujihusisha na sex, lakini pia wapo waliozaliwa hivyo i.e. korodani hazipo n.k. Towashi sio Gay.
 
Mkuu, mbona Hoja yako unaipeleka unavyotaka? Si ujisomee mwenyewe maana ya Eunuchs au Google maana ya eunuchs in Kiwahili. Ina maana wanaosema ni Towashi hawajui kwamba kuna Shoga na hawa ni watu wawili tofauti kabisa? :KEKBye: Umeshupalia tafsiri yako potofu tu na hutaki kubadilika.
 
Mkuu; Huyo Jamaa amekaririshwa au hajui asemalo. Anatafsiri maandiko kinyume na yalivyoandikwa na maana yake.
Eunuchs = Towashi = mwanaume aliyehasiwa, mwanaume aliyetengwa kuwahudumia au kuwatunza wake wa Mfalme au mabinti wa Mfalme n.k.
Mwanaume Towashi anaweza kuwa ni mwanaume rijali kabisa lakini hakutaka(Amekataa kwa hiari yake) kujihusisha na sex, lakini pia wapo waliozaliwa hivyo i.e. korodani hazipo n.k. Towashi sio Gay.

Angalia hiyo nukuu iliyo na wino RED

Inakuwaje hawaruhusiwi kuingia kwenye ufalme wa mungu halafu huku waishi for the sake of the kingdom of heaven???

nani mwenye kukaririshwa ??

Eunuchs are GAYS , ndio manaa hawaruhusiwi kuingia katika ufalme wa Mungu

12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”

Deuteronomy 23:1-6 No eunuch is to enter the congregation of GOD.
 
Mkuu, mbona Hoja yako unaipeleka unavyotaka? Si ujisomee mwenyewe maana ya Eunuchs au Google maana ya eunuchs in Kiwahili. Ina maana wanaosema ni Towashi hawajui kwamba kuna Shoga na hawa ni watu wawili tofauti kabisa? :KEKBye: Umeshupalia tafsiri yako potofu tu na hutaki kubadilika.

Angalia hiyo nukuu iliyo na wino RED

Inakuwaje hawaruhusiwi kuingia kwenye ufalme wa mungu halafu huku waishi for the sake of the kingdom of heaven???

nani mwenye kukaririshwa ??

Eunuchs are GAYS , ndio manaa hawaruhusiwi kuingia katika ufalme wa Mungu

12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”

Deuteronomy 23:1-6 No eunuch is to enter the congregation of GOD.
 
Angalia hiyo nukuu iliyo na wino RED

Inakuwaje hawaruhusiwi kuingia kwenye ufalme wa mungu halafu huku waishi for the sake of the kingdom of heaven???

nani mwenye kukaririshwa ??

Eunuchs are GAYS , ndio manaa hawaruhusiwi kuingia katika ufalme wa Mungu

12 For there are eunuchs who were born that way, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others—and there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”

Deuteronomy 23:1-6 No eunuch is to enter the congregation of GOD.
Nanukuu:
"Eunuchs are GAYS , ndio manaa hawaruhusiwi kuingia katika ufalme wa Mungu"
Sentensi hii👆 👆 umeipata wapi?
Nani alikuambia au kakukaririsha kwamba GAYS hawaruhusiwi kuingia katika ufalme wa Mungu? Ni katika ufalme wa Mungu yupi au pia hujui tafsiri ya neno Heaven?
Mkuu; is it true that the Congragation of God is God himself?
Sipati picha:WeirdChamping:
 
Nanukuu:
"Eunuchs are GAYS , ndio manaa hawaruhusiwi kuingia katika ufalme wa Mungu"
Sentensi hii👆 👆 umeipata wapi?
Nani alikuambia au kakukaririsha kwamba GAYS hawaruhusiwi kuingia katika ufalme wa Mungu? Ni katika ufalme wa Mungu yupi au pia hujui tafsiri ya neno Heaven?
Mkuu; is it true that the Congragation of God is God himself?
Sipati picha:WeirdChamping:
Kwani gays wataingia kwenye ufalme wa Mungu ?
 
Kwani gays wataingia kwenye ufalme wa Mungu ?
Imeandikwa: Usihukumu ili usije ukahukumiwa. Mat.7:1
Why not? Mungu ni mwenye Huruma na Neema.
Mungu ndiye mwenye Haki na Hukumu zake ni za Adili.
 
Imeandikwa: Usihukumu ili usije ukahukumiwa. Mat.7:1
Why not? Mungu ni mwenye Huruma na Neema.
Mungu ndiye mwenye Haki na Hukumu zake ni za Adili.

nimekuuliza swali
Kwani gays wataingia kwenye ufalme wa Mungu?
Tafadhali lijibu kwanza , sijatoa hukumu
 
Back
Top Bottom