Penalty akose koke na Aspas alafu alaumiwe de gea?
Ndugu wewe ni mshabiki wa mzur wa hii timu kuna vitu vingine kutetea lazima uwe makini mno kipa ana nafasi yake ktk hilo suala umemuona kipa wa russia? De gea ktk mashuti 7 aliyopigiwa 6 yameingia golini tuwe makini mno ktk haya mambo
 
De gea kwa upande wa penat ni tatizo anazidiwa na sergio romero ktk upande huo pia kafanya vibaya sana ktk haya mashindano kanihuzunisha sana.


Tatizo Ni Moja tu! Najiridhisha Kusema Kuwa De Gea Kwenye National Team Hana Competition Yoyote Kutoka Kwa Kipa Namba Mbili wala Tatu Kwani Pepe Reina Yuko Mbali Sana na De Gea! That is Why Huwa Very Careless anapokuwa Golini Kwani Anajiamini Kwa 100% Kuwa Hakuna Wa Kumpa Changamoto Pale Golini.
Tofauti na Man United! Anajua Wazi Kuwa Akizingua tu, Mou anaingia Sokoni.
 
Tatizo Ni Moja tu! Najiridhisha Kusema Kuwa De Gea Kwenye National Team Hana Competition Yoyote Kutoka Kwa Kipa Namba Mbili wala Tatu Kwani Pepe Reina Yuko Mbali Sana na De Gea! That is Why Huwa Very Careless anapokuwa Golini Kwani Anajiamini Kwa 100% Kuwa Hakuna Wa Kumpa Changamoto Pale Golini.
Tofauti na Man United! Anajua Wazi Kuwa Akizingua tu, Mou anaingia Sokoni.
Nahisi huku united anakaza kufuatana na timu yetu ilivyokuwa sasa kaenda spain amejiachia sana.
 
Fred has completed his medical at Carrington today ahead of his move to Manchester United. It will be announced officially within 24 hours. (Source: @CraigNorwood)
Nilichogundua timi ikiwa na mastaa wengi makocha wanapata tabu sana kupanga vikosi na kuita wachezaji kwa mfano spain,argentina na german hata brazil naona hilo suala linaibuka
Spain ilipochukuwa world cup ilikuwa haina mastar??


Germany ilipochukua world cup ilikuwa haina mastar???


Nisaidie hapo mkuu
 
Kuna mahali nimeandika timu haikubeba kombe kwa kuwa kuna mastaa? Jaman tusome post vyema NIMESEMA MAKOCHA WENGI WANAPATA TABU KUPANGA VIKOSI TIMU IKIWA NA MASTAA WENGI.
Hawapati tabu hata kdgo, kocha ndyo mwalimu mwenye maono yupi atamfaha au yui hamfahi, kitendo cha kupoteza mech kwa timu kubwa ni kawaida sana.

Usishangae et kisa kocha anapata wakati mgumu hapana.
 
Hawapati tabu hata kdgo, kocha ndyo mwalimu mwenye maono yupi atamfaha au yui hamfahi, kitendo cha kupoteza mech kwa timu kubwa ni kawaida sana.

Usishangae et kisa kocha anapata wakati mgumu hapana.


Hii Kauli Yako Ya Kuwa Kocha Ndiye Anayeona Yupi atamfaa na Yupi Hamfai sikubaliani Nayo Hata Kidogo Kwani Tumeona Mifano Ya Wazi Makocha Walivyoingia Chaka Katika Kuchagua Wachezaji Kwamfano.

1) Kocha Wa Serbia Aliyetimuliwa Wakati Wa Kuelekea Russia; Huyu Kocha Alijaribu Kutuaminisha Kuwa Milinkovic Savic Kuwa Hana Kiwango Cha Kuchezea timu ya Taifa Jambo ambalo Waserbia Wakaprotest Mpaka Akatimuliwa na Hatimae Kocha Mpya Akamwita. Na Shuhuli Yake Kwenye Wodi Kap sote tumeiyota alivyokuwa Akiicontrol Midfield.


2) Joachim Low: Huyu Kocha Alitaka Kuwaaminisha Watu Kuwa Draxler na Brandt Ni Bora na Wanaweza Kuoffer Vitu Vingi Kuliko Leroy Sane... Ukweli Usiofichika Leroy Sane Si Mchezaji Wa Kuachwa Katika Kikosi cha Germany! Hapa Kocha Hakujua nani anamfaa na Nani Hamfai.

3) Sampaoli: Kitendo Cha Kutomuanzisha Aguero Katika Mechi Zidi Ya France Ni Kosa ambalo atalijutia! Hapa Kocha Hakujua nani Atamfaa na nani Hamfai. Au unataka na wewe Kutuaminisha Kuwa Kocha Alikuwa Sahihi Kutokumuanzisha Aguero na Dyabala?

Sometimes Ukubali Kuwa Makocha Wanashindwa Kuchagua Wachezaji Sahihi.
 
Hii Kauli Yako Ya Kuwa Kocha Ndiye Anayeona Yupi atamfaa na Yupi Hamfai sikubaliani Nayo Hata Kidogo Kwani Tumeona Mifano Ya Wazi Makocha Walivyoingia Chaka Katika Kuchagua Wachezaji Kwamfano.

1) Kocha Wa Serbia Aliyetimuliwa Wakati Wa Kuelekea Russia; Huyu Kocha Alijaribu Kutuaminisha Kuwa Milinkovic Savic Kuwa Hana Kiwango Cha Kuchezea timu ya Taifa Jambo ambalo Waserbia Wakaprotest Mpaka Akatimuliwa na Hatimae Kocha Mpya Akamwita. Na Shuhuli Yake Kwenye Wodi Kap sote tumeiyota alivyokuwa Akiicontrol Midfield.


2) Joachim Low: Huyu Kocha Alitaka Kuwaaminisha Watu Kuwa Draxler na Brandt Ni Bora na Wanaweza Kuoffer Vitu Vingi Kuliko Leroy Sane... Ukweli Usiofichika Leroy Sane Si Mchezaji Wa Kuachwa Katika Kikosi cha Germany! Hapa Kocha Hakujua nani anamfaa na Nani Hamfai.

3) Sampaoli: Kitendo Cha Kutomuanzisha Aguero Katika Mechi Zidi Ya France Ni Kosa ambalo atalijutia! Hapa Kocha Hakujua nani Atamfaa na nani Hamfai. Au unataka na wewe Kutuaminisha Kuwa Kocha Alikuwa Sahihi Kutokumuanzisha Aguero na Dyabala?

Sometimes Ukubali Kuwa Makocha Wanashindwa Kuchagua Wachezaji Sahihi.
Nilikuwa mbishi kama wewe na nilikuwa mbishi katika ukweli, nilibisha ili nijue kama niko sahihi kumbe nilikuwa najua jibu

Iko hvi tambua kuachwa kwa mchezaji mmoja mmoja hakuifanyi timu isiwe bora au kuchukuliwa hakuifanyi timu ifanye vema.

Kuachwa kwa wachezaji ktk timu hzo hakujaleta affect kubwa na hatukujua kuwa kama wangeletwa wangeleta faida kubwa, bdo suala la yupi anafaa yupi hafai ni mwalimu mwenyewe.

Labda ungeniambia mwalimu aliboronga ktk kuandaa kikosi ktk mech huska hapo twaweza kwenda sawa, mwalimu kuishiwa mbinu ktk mchezo nako kwaweza kuwa ni athari pia kwa timu lakn siyo kisa et kashndwa kuwachagua wale kwa kuwa ana wacheza weng star No.
 
Hii Kauli Yako Ya Kuwa Kocha Ndiye Anayeona Yupi atamfaa na Yupi Hamfai sikubaliani Nayo Hata Kidogo Kwani Tumeona Mifano Ya Wazi Makocha Walivyoingia Chaka Katika Kuchagua Wachezaji Kwamfano.

1) Kocha Wa Serbia Aliyetimuliwa Wakati Wa Kuelekea Russia; Huyu Kocha Alijaribu Kutuaminisha Kuwa Milinkovic Savic Kuwa Hana Kiwango Cha Kuchezea timu ya Taifa Jambo ambalo Waserbia Wakaprotest Mpaka Akatimuliwa na Hatimae Kocha Mpya Akamwita. Na Shuhuli Yake Kwenye Wodi Kap sote tumeiyota alivyokuwa Akiicontrol Midfield.


2) Joachim Low: Huyu Kocha Alitaka Kuwaaminisha Watu Kuwa Draxler na Brandt Ni Bora na Wanaweza Kuoffer Vitu Vingi Kuliko Leroy Sane... Ukweli Usiofichika Leroy Sane Si Mchezaji Wa Kuachwa Katika Kikosi cha Germany! Hapa Kocha Hakujua nani anamfaa na Nani Hamfai.

3) Sampaoli: Kitendo Cha Kutomuanzisha Aguero Katika Mechi Zidi Ya France Ni Kosa ambalo atalijutia! Hapa Kocha Hakujua nani Atamfaa na nani Hamfai. Au unataka na wewe Kutuaminisha Kuwa Kocha Alikuwa Sahihi Kutokumuanzisha Aguero na Dyabala?

Sometimes Ukubali Kuwa Makocha Wanashindwa Kuchagua Wachezaji Sahihi.
Kufanya vibaya kwa timu ni kombination ya vitu vingi sio kuachwa kwa mchezaji mmoja hata Sane angekuwepo still Germany angefungwa kuanzia beki hadi ushambuliaji walikuwa wabovu

Aguero angeanza still Argentina walikuwa wabovu kuanzia beki hadi ushambuliaji ni wabovu na tactics mbovu za kocha
Sampaoli ameshindwa kabisa kutengeneza timu hawaeleki wanacheza nini
 
Usajili mpya wa kipa
Screenshot_20180703-204803.jpg
 
Hii Kauli Yako Ya Kuwa Kocha Ndiye Anayeona Yupi atamfaa na Yupi Hamfai sikubaliani Nayo Hata Kidogo Kwani Tumeona Mifano Ya Wazi Makocha Walivyoingia Chaka Katika Kuchagua Wachezaji Kwamfano.

1) Kocha Wa Serbia Aliyetimuliwa Wakati Wa Kuelekea Russia; Huyu Kocha Alijaribu Kutuaminisha Kuwa Milinkovic Savic Kuwa Hana Kiwango Cha Kuchezea timu ya Taifa Jambo ambalo Waserbia Wakaprotest Mpaka Akatimuliwa na Hatimae Kocha Mpya Akamwita. Na Shuhuli Yake Kwenye Wodi Kap sote tumeiyota alivyokuwa Akiicontrol Midfield.


2) Joachim Low: Huyu Kocha Alitaka Kuwaaminisha Watu Kuwa Draxler na Brandt Ni Bora na Wanaweza Kuoffer Vitu Vingi Kuliko Leroy Sane... Ukweli Usiofichika Leroy Sane Si Mchezaji Wa Kuachwa Katika Kikosi cha Germany! Hapa Kocha Hakujua nani anamfaa na Nani Hamfai.

3) Sampaoli: Kitendo Cha Kutomuanzisha Aguero Katika Mechi Zidi Ya France Ni Kosa ambalo atalijutia! Hapa Kocha Hakujua nani Atamfaa na nani Hamfai. Au unataka na wewe Kutuaminisha Kuwa Kocha Alikuwa Sahihi Kutokumuanzisha Aguero na Dyabala?

Sometimes Ukubali Kuwa Makocha Wanashindwa Kuchagua Wachezaji Sahihi.

Huyo jamaa sikutaka kubishana nae niliamua kumuitikia ok tu kumaliza mjadala msome rashford anachoongea hapo chini kwenye red

Makocha huwa wanapata tabu sana kuchagua wachezaji lakin mtu anakataa.

Rashford, meanwhile, is determined to fight for his place in Mourinho’s side.

“Every player will tell you it’s always frustrating when you don’t start,” he said. “You have to look at the positives – you get two extra days’ training.

“It’s not stopped me developing. If it had stopped me developing then it’s more of a problem.

GettyImages-988861950.jpg

Rashford responded maturely to Mourinho's challenge.


“He has 20-25 players. Everyone has different attributes and suits different styles so finding the right balance is a tough job for a manager.”


Manchester United player Marcus Rashford has done what Jose Mourinho wants
 
Back
Top Bottom