Makonda bado anaendelea na michezo yake michafu ya kufanya mauzauza kwa kuandaa matukio ambayo huwa anapachika "waigizaji".
Niwakumbushe tukio alilofanya akiwa RC wa DSM.
*Aliwakusanya masingo mama na kuwataka wawataje akina baba waliotelekeza watoto. Ktk mkusanyiko huu akajitokeza muigozaji mdada akadai kuwa yeye ni mtoto wa mhe. Lowasa (RIP). Baadaye dada yule alikiri hadharani kuwa alitumwa kumchafua Lowasa (na Makonda) na akaomba radhi
Hivi sasa hapa Arusha ametengeneza mkusanyiko wa msaada wa kisheria. Lkn ktk mkusanyiko huo kuna watu walioandaliwa kusema, kulia, kushangilia na kushukuru kisha kumtukuza Makonda kwa msaada wake hata kama wao hawajasaidiwa chochote. Lengo likiwa ni kujiinua na kujipatia sifa ubwete.
Niwakumbushe tukio alilofanya akiwa RC wa DSM.
*Aliwakusanya masingo mama na kuwataka wawataje akina baba waliotelekeza watoto. Ktk mkusanyiko huu akajitokeza muigozaji mdada akadai kuwa yeye ni mtoto wa mhe. Lowasa (RIP). Baadaye dada yule alikiri hadharani kuwa alitumwa kumchafua Lowasa (na Makonda) na akaomba radhi
Hivi sasa hapa Arusha ametengeneza mkusanyiko wa msaada wa kisheria. Lkn ktk mkusanyiko huo kuna watu walioandaliwa kusema, kulia, kushangilia na kushukuru kisha kumtukuza Makonda kwa msaada wake hata kama wao hawajasaidiwa chochote. Lengo likiwa ni kujiinua na kujipatia sifa ubwete.