majina ya wasichana

Mpambano ulikuwa mkali sana.
Samahani kwa wale wote niliowakwaza.
Ilikuwa ni utani tu.
I love u ol.

Afadhali ndugu kama ni utani, maana chuki katika jamii huanzia mahali ambapo hata hukutegemea, wengine baada ya mpambano huu watakuwa tayari wamejeruhiwa ubongo wao kuhusu jinsia opposite yake, wengine inaweze kuwa mwanzo wa chuki dhidi ya mwenzi wake kwa vile tayari majina yaliyosemwa hapa pengine amehisi kudhalilika. Hatari sana. "Maumivu ya kichwa huanza poole poole!"
 
Oh my God,am back........msifikiri nilipenda kuchakakachua matokeo jamani,baba watoto alinipiga mkwara na dola yake nisipofunga huo mjadala,nifunge vilivyo vyangu,nimerudi na nasema hapana ushindi ule haukuwa wa halali.........Naomba msamaha na kura zihesabiwe upya wapenzi wangu Husninyo na Shosti...

haijalishi tume ilitangaza matokeo kwa hiari au kwa shuruti. Tume ikishatangaza matokeo hakuna mamlaka inayoruhusiwa kupinga. Mshindi ndio ameshatangazwa.
 
mmmhh jamani yeye atachukua masaa sita kumaliza mchezo mwenyewe..
halafu hapoo na kujichubua ajili anatumia nguvu sana..

mmmhhh ndo maana nikasema tumalize mchezo..
mmmhh mie nikimsaidi gusa,lamba, kula, nyonya mmhhh
hachukui hata nusu saa,
hahahhah lol
hahah na wakishato kupiga mangure na busaa ahahah
lazima akuchune ngozi hahah ....... Manyara nzima
haiko nyuma kwenye hii idara nasikia ukiwa legelege
kidogo tu inakula kwako hahah
 
hehehe ok, kwa niaba ya waasirika wote wa ukimwi wa afrika mashariki na kati napenda kutangaza kwamba hili sredi limefungwa ofishiali. yoyote atakaetoa jina la kashfa kwa jinsia isiokuwa ya kwake atahukumiwa kwa kunyang'anywa pasiwedi ya JF.

NB: sredi linaweza kugeuzwa chatroom kama mbadala wa nyumba ndogo ya forum.

asanteni kwa ushirikiano

Kaangalie signature ndo chat rum
 
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?

Mfano:

1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI

Kama unayajua mengine unaweza ongezea
wowoo..
kisura..
shetani...
mfuko..
k..
dimbwi...
mlupo... etc.
 
nitumie Account no yako just now nikutumie talaka yako sasa hivi siwezi kuvumilia kwa hili!:Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::A S confused::A S confused::A S confused::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
Halafu wewe Husninyo una kesi kumbe hayo majina ndio huwa unaniita ukifika nyumbani leo utanieleza vizuri
 
nitumie Account no yako just now nikutumie talaka yako sasa hivi siwezi kuvumilia kwa hili!:Cry::Cry::Cry::Cry::Cry::A S confused::A S confused::A S confused::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
Je? Wewe ulishawahi kubembelezwa mwenzio mimi nilishawahi.............nadekezwa haya hebu njoo huku tuyamalize i wipe off your tears and bring bak the beautiful smile on your face just say one word "YES"
 
NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO,AINT GONNA CME!nimechoshwa navituko na vipigo majeraha kila siku ,hivi kwann??????????
Je? Wewe ulishawahi kubembelezwa mwenzio mimi nilishawahi.............nadekezwa haya hebu njoo huku tuyamalize i wipe off your tears and bring bak the beautiful smile on your face just say one word "YES"
 
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?

Mfano:

1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI

Kama unayajua mengine unaweza ongezea

kicheche,
kisantili,
cha upepo,
 
NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO,AINT GONNA CME!nimechoshwa navituko na vipigo majeraha kila siku ,hivi kwann??????????
Nikikupata milele nitafurahi nitaimba nakupenda hadi mwisho wa uhai
 
kitu, issue, kamatio, kishikizo, chapio, ngulaga, mtoboro, nguja etc
 
Back
Top Bottom