Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,517
- 6,497
Mpambano ulikuwa mkali sana.
Samahani kwa wale wote niliowakwaza.
Ilikuwa ni utani tu.
I love u ol.
Afadhali ndugu kama ni utani, maana chuki katika jamii huanzia mahali ambapo hata hukutegemea, wengine baada ya mpambano huu watakuwa tayari wamejeruhiwa ubongo wao kuhusu jinsia opposite yake, wengine inaweze kuwa mwanzo wa chuki dhidi ya mwenzi wake kwa vile tayari majina yaliyosemwa hapa pengine amehisi kudhalilika. Hatari sana. "Maumivu ya kichwa huanza poole poole!"