Maiti za watu kila sehemu Gaza. Wapo wanaokufa kwa silaha za Israel na wapo wanaokufa kwa njaa

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,351
11,223
Takwimu za vifo Gaza ni kubwa mno kiasi kwamba inakadiriwa kati ya kila wapalestina 20 mmoja kati yao ameuliwa.

Suala la vifo zaidi ya 100 na baadhi ya siku mpaka 700 ni kitu cha kawaida.Kuna wajumbe wa UN wanasema hawajawahi kushuhudia uwiyano wa vifo namna hiyo katika vita vyovyote duniani.

Katikati ya hali hiyo ya kutisha wajumbe wa mashirika ya misaada katikati ya wiki hii walipokuwa wakijaribu kupeleka misaada kaskazini ya Gaza walishangaa kuzuiliwa na majeshi ya Israel kufikia maeneo hayo wakielezwa kuwa kuna magaidi ya Hamas.

Hata hivyo walichokiona njiani ni maiti za watu wakiwemo watoto wadogo.Wale waliowakuta hai njiani walikuwa ni watu waliodhoofika sana kwa njaa wakikimbilia magari yao ambayo hayakuwa na kitu wakiomba maji na chakula. Waliposhindwa kuwasaidia walishuduia baadhi yao wakidondoka na kufa.

Hayo ni matokeo ya kushindwa kwa Israel katika vita na kubaki kuua watu kwa silaha za moto na kwa ktumia njaa na kiu. Na hali hiyo ndiyo iliyoitia huruma nchi ya Afrika kusini na kuamua kuifungulia kesi Israel kwenye mahakama ya ICJ
1705179428225.png
 
Shame on Hamas, damu ya wapalestina iwe juu yao na vizazi vyao, shetani hana rafiki, kama mtaendelea kuwashangilia hamas wapalestina wataendelea kuangamia, unavamia halafu unaenda kujificha kwa raia? Unafikiri siku nyingine hamas alishambulia tena Israel atawaacha? Katika mashambulizi ya October 7 hamas wameambulia nini? Nilivyosikia Netanyahu anatangaza vita nilijua lazima hali iwe mbaya sana kwa watu wa Gaza.
 
Takwimu za vifo Gaza ni kubwa mno kiasi kwamba inakadiriwa kati ya kila wapalestina 20 mmoja kati yao ameuliwa.

Suala la vifo zaidi ya 100 na baadhi ya siku mpaka 700 ni kitu cha kawaida.Kuna wajumbe wa UN wanasema hawajawahi kushuhudia uwiyano wa vifo namna hiyo katika vita vyovyote duniani.

Katikati ya hali hiyo ya kutisha wajumbe wa mashirika ya misaada katikati ya wiki hii walipokuwa wakijaribu kupeleka misaada kaskazini ya Gaza walishangaa kuzuiliwa na majeshi ya Israel kufikia maeneo hayo wakielezwa kuwa kuna magaidi ya Hamas.

Hata hivyo walichokiona njiani ni maiti za watu wakiwemo watoto wadogo.Wale waliowakuta hai njiani walikuwa ni watu waliodhoofika sana kwa njaa wakikimbilia magari yao ambayo hayakuwa na kitu wakiomba maji na chakula. Waliposhindwa kuwasaidia walishuduia baadhi yao wakidondoka na kufa.

Hayo ni matokeo ya kushindwa kwa Israel katika vita na kubaki kuua watu kwa silaha za moto na kwa ktumia njaa na kiu. Na hali hiyo ndiyo iliyoitia huruma nchi ya Afrika kusini na kuamua kuifungulia kesi Israel kwenye mahakama ya ICJ

Magaidi muache uchokozi,mazayuni watawamaliza.
 
Takwimu za vifo Gaza ni kubwa mno kiasi kwamba inakadiriwa kati ya kila wapalestina 20 mmoja kati yao ameuliwa.

Suala la vifo zaidi ya 100 na baadhi ya siku mpaka 700 ni kitu cha kawaida.Kuna wajumbe wa UN wanasema hawajawahi kushuhudia uwiyano wa vifo namna hiyo katika vita vyovyote duniani.

Katikati ya hali hiyo ya kutisha wajumbe wa mashirika ya misaada katikati ya wiki hii walipokuwa wakijaribu kupeleka misaada kaskazini ya Gaza walishangaa kuzuiliwa na majeshi ya Israel kufikia maeneo hayo wakielezwa kuwa kuna magaidi ya Hamas.

Hata hivyo walichokiona njiani ni maiti za watu wakiwemo watoto wadogo.Wale waliowakuta hai njiani walikuwa ni watu waliodhoofika sana kwa njaa wakikimbilia magari yao ambayo hayakuwa na kitu wakiomba maji na chakula. Waliposhindwa kuwasaidia walishuduia baadhi yao wakidondoka na kufa.

Hayo ni matokeo ya kushindwa kwa Israel katika vita na kubaki kuua watu kwa silaha za moto na kwa ktumia njaa na kiu. Na hali hiyo ndiyo iliyoitia huruma nchi ya Afrika kusini na kuamua kuifungulia kesi Israel kwenye mahakama ya ICJ
Sasa Hamas wameiletea Gaza faida gani? Kwa kuivamia Israel na kuendelea kuwashikilia wayahudi mateka hii inapelekea Israel izidishe mashambulizi Gaza bora waache hao mateka
 
Takwimu za vifo Gaza ni kubwa mno kiasi kwamba inakadiriwa kati ya kila wapalestina 20 mmoja kati yao ameuliwa.

Suala la vifo zaidi ya 100 na baadhi ya siku mpaka 700 ni kitu cha kawaida.Kuna wajumbe wa UN wanasema hawajawahi kushuhudia uwiyano wa vifo namna hiyo katika vita vyovyote duniani.

Katikati ya hali hiyo ya kutisha wajumbe wa mashirika ya misaada katikati ya wiki hii walipokuwa wakijaribu kupeleka misaada kaskazini ya Gaza walishangaa kuzuiliwa na majeshi ya Israel kufikia maeneo hayo wakielezwa kuwa kuna magaidi ya Hamas.

Hata hivyo walichokiona njiani ni maiti za watu wakiwemo watoto wadogo.Wale waliowakuta hai njiani walikuwa ni watu waliodhoofika sana kwa njaa wakikimbilia magari yao ambayo hayakuwa na kitu wakiomba maji na chakula. Waliposhindwa kuwasaidia walishuduia baadhi yao wakidondoka na kufa.

Hayo ni matokeo ya kushindwa kwa Israel katika vita na kubaki kuua watu kwa silaha za moto na kwa ktumia njaa na kiu. Na hali hiyo ndiyo iliyoitia huruma nchi ya Afrika kusini na kuamua kuifungulia kesi Israel kwenye mahakama ya ICJ
Unategemea hiyo kesi Israel watafanywa nini? Kama mpaka leo putini hajafungwa jera ndio watafungwa Israel.........?
 
Unategemea hiyo kesi Israel watafanywa nini? Kama mpaka leo putini hajafungwa jera ndio watafungwa Israel.........?
Hiyo kesi inasaidia kuweka sawa kumbukumbu kwamba alichofanya Israel ni uonevu na uvunjaji wa sheria za kimataifa.
Mara nyingi hii huleta ushujaa kwa nyoyo za binadamu kupambana na madhalimu hata wasipotekeleza hukumu kwa makosa yao
 
Akili yako haina akili,Unalia hapa wanavopigwa huko huku unasema ziraili kashindwa vita.
151 tayari jana na leo.
Kesho itakua 200+ wanaume wanarudi kupumzika.
Mtaonana tena ijumaa mkimaliza swala tu.
Safari hii mmeingia choo cha kike.
Huo ni ushindi gani wa kuua watu namna hiyo.
Yaani unaunga mkono watu wafe kwa njaa halafu unailalamikia ccm kwa maisha magumu.Si uone ni sawa tu.
 
Sasa Hamas wameiletea Gaza faida gani? Kwa kuivamia Israel na kuendelea kuwashikilia wayahudi mateka hii inapelekea Israel izidishe mashambulizi Gaza bora waache hao mateka
Hapo pembeni mwenzio Ritz anakata mauno mbaya sana,anasema idf wanatandikwa vibaya sana na hamas,eti wanajeshi wa israel wamelazimika kuvaa hijab ili watoke salama huko gaza,kumbe uongo
 
Shame on Hamas, damu ya wapalestina iwe juu yao na vizazi vyao, shetani hana rafiki, kama mtaendelea kuwashangilia hamas wapalestina wataendelea kuangamia, unavamia halafu unaenda kujificha kwa raia? Unafikiri siku nyingine hamas alishambulia tena Israel atawaacha? Katika mashambulizi ya October 7 hamas wameambulia nini? Nilivyosikia Netanyahu anatangaza vita nilijua lazima hali iwe mbaya sana kwa watu wa Gaza.
Hamas ilianzishwa na Israel lengo likiwa kuidhoofisha PLO chini ya Yasir Arafat na kuigawa Palestina katika mapande mawili yasiyoelewana yaani Western Bank na hiyo Gaza! Miaka ya 2000 viongozi wa Hamas walipata akili kuwa wanatumika na Israel kwa manufaa ya Israel.

Anzia miaka ya 2000 Israel imepata kitu cha tofauti na kile ilichokianzisha huko Gaza, Hamas wakaanza kudai maeneo yao yanayokaliwa kwa nguvu na Israel, na wao wakiwa katika msingi wa kusema haki inadaiwa, haiombwi!.

Wakati mataifa ya magharibi yakiitambua Hamas kama magaidi, nchi nyingi Dunian zimekataa kuitambua Hamas kama magaidi ila wanawatambua kama Freedom Fighters! Nchi kama Africa Kusini wanakumbukumbu nzuri sana jinsi walivyoteswa na makabulu huku wakiwaita, kuwafungulia kesi na kuwafunga wapigania uhuru wa Africa Kusin na kuwaita majina kama hayo ya Wachochezi, Magaidi nk.

Kwaiyo wale Wapalestina mpaka leo unawalaumu hapa jua kuwa bado wale hawajapata Uhuru ambao wewe unaadhimisha wa 1961 na ambao pia mmesherehekea juzi wa Mapinduzi matukufu. Hivo baso nawao wanaendelea kupambana na mkoloni Israel.

Mapambano ya namna hii ya gharama kubwa sana, ata katika historia ya Tanganyika we mwenyewe ulisoma jinsi macheaf wetu walifanywa na wakoloni ila atimae uhuru ulipatikana mwaka 1961.
 
Hii ndio watu wanasahau,hao Hammas wameenda kupiga pale Israel na wakaondoka na Mateka,kwa kushtukiza.
Sasa ndo wanapigwa wanalalamika.
Kule mtoto gaidi,mama gaidi baba gaidi,bibi gaidi.
Yaani wapukutwe tu.
Ikiwa kuteea haki ni ugaidi basi wapalestina wote wameukubali.
Japo wanakufa hawajawahi kuwalaumu Hamas na hawaoni sababu ya kusalimu amri.
Watu tuliobaki ndio wa kuwaonea huruma na kuona dhulma inayofanyika na kuwatetea na kuinusuru dunia na laana kama iliyowapata hao mayahudi.
 
Ikiwa kuteea haki ni ugaidi basi wapalestina wote wameukubali.
Japo wanakufa hawajawahi kuwalaumu Hamas na hawaoni sababu ya kusalimu amri.
Watu tuliobaki ndio wa kuwaonea huruma na kuonga dhulma inayofanyika na kuwatetea na kuinusuru dunia na laana kama iliyowapata hao mayahudi.
Wewe Ali wazi kanywe uji ulale.
Huna hoja yoyote hapa.
 
Back
Top Bottom