Mada: Fahamu namna ya kufungua (Ku- unlock) Moderm za aina mbalimbali

YAP KAKA. thanx sana mana nilikuwa ninayo kwenye droo nasubiri ku-unlock tu.. sasa nataka nifanye dual ya hii pamoja na zte mf900 nione kama nitapata ongezeko la speed via connectify mkuu.BIG UP and keep em coming broda..
1239396_597458807042326_8912978475044703216_n.jpg
 
Ninaomba msaada, nimedownload hiyo firmware ya moderm naona haifungui. Nimejaribu kwa computer tofauti imeshindikana. Ninaomba msaada wenu
 
Ki ukweli hii modem ni 14Mbps maana Mimi ninayo hapa naitumia kwenye mtandao wetu wa Airtel kitu inagonga vizuri tu 1.400MB/sec kwenye idm but kwenye dashboard haivuki 6Mbps sijui kwanini


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Itakua(am not sure) kwamba baada ya ku unlock unai recalibrate kuja 7.6Mbps lkn capacity yake inabaki ni ile ile 14Mbps
 
Mkuu step zote nimefuata na password nimetumia ile ya flash code ila mwisho siku wakati wa ku update firmware inasema Error code 17,The wireless terminal inserted is not E 3531,update wizard cant continue.Moderm ni E303s-1
 
Mkuu step zote nimefuata na password nimetumia ile ya flash code ila mwisho siku wakati wa ku update firmware inasema Error code 17,The wireless terminal inserted is not E 3531,update wizard cant continue.Moderm ni E303s-1
..
mkuu umekosea.. hapa tunaunlock hizi modem mpya za tigo ambayo ni model ya e303H sio e303s ...kuna nyuzi zinaongelea 303s na firmware zake zipo ..ulikosea hiyo model tu..hii ni 303 "H" mkuu
 
Mahitaji
# Huawei Modem Unlocker | Copy.com | Size 30Kb
# Firmware Ichukue hapa | http://goo.gl/5fJlJp | Size 13.5Mb

Jinsi ya kufanya
# Install drivers za Huawei E303H kwa ku_install software ya modem
# Kama umeweka laini tofauti katika modem utajitokeza ujumbe huu
Y8Z5AC

# Click OK, kisha funga software ya modem

# Fungua huawei unlocker, hakikisha imesoma IMEI number, kisha click CALCULATE
7zKxyM


# Nakili [Copy] FLASH CODE zitatumika hatua inayofuata
# Fungua Firmware kicha click start
9BVBt0

# Hapo kwenye "password" weka FLASH CODE uliyonakili awali, Subiri utajitokeza huu ujumbe
2HzfKX

#Hapo umefanikiwa ku_unlock modem yako ya HUAWEI E303H
ojYxMe

# Enjoy
:cool2::cool2::cool2:
CC| Kaa la Moto kimox kimkole PHILIPP DONIE CORAL nurbert
Asante sana kaka. Nimefanikiwa kuifungua mpaka hapa

Untitled-1.jpg

shida ni kwamba niki connect napata error hii:

Untitled-2.jpg

sijui nifanye nini. Msaada tafadhali.
Thanks mkuu.
 
..
mkuu umekosea.. hapa tunaunlock hizi modem mpya za tigo ambayo ni model ya e303H sio e303s ...kuna nyuzi zinaongelea 303s na firmware zake zipo ..ulikosea hiyo model tu..hii ni 303 "H" mkuu

Thanks na mimi nimeshaunlock kamodem kangu
lakini ninayo ingine ya voda e303s-2
vipi hii nayo haina ujanja?
 
Mwl.RCT,
Thanks for your information. There are lot of methods available to unlock huawei modem. But i have chosen unlock code method. I got unlock code from this site Classicunlocking.com then unlocked my huawei modem easily.
 
Nashukuru Mwl.RCT, nimefanikiwa ku-unlock kwa urahisi kabisa bila usumbufu wowote. Niliwahi kujaribu ku_unlock modem yangu ya vodacom, huawei E303 lakini kwa bahati mbaya hiyo firmware haikumaliza steps zote, na matokeo yake modem ikawa haisomi tena laini yoyote, vipi naweza fanya kitu ili modem yangu isome angalau hata ileile laini ya voda?
 
Last edited by a moderator:
Niliyoyasikia ni kwamba hii modem ni 14Mbps modem
Kama ni kweli basi Nichukue nafasi hii kuwapongeza Tigo kwa kuleta revolution kwa Tanzania maana utakua mtandao wa Kwanza kuuza officially modem zenye HSDPA speed up to 14Mbps...

Mimi nili unlock hii modem ya tigo E 303, kwa offocial dcunlocker software. Ila baada ya kukamilisha zoezi nilivyocheki properties ikaonyesha capacity yake baada ni 7.5Mbps. That means nimeiunlock sawa lakini nimeipunguzia uwezo wa kutransmit data na kwakweli ilikua haina tena maana kwangu.

Lengo nilikua nipate modem yenye uwezo wa 14Mbps ambayo ni unlocked. Kwahiyo ukiiulock tu basi inakua kama E173 kiuwezo.

Hii ndio experience niliyopata. Kama kuna mwingine mwenye experience tofauti na hii yangu katika kipengele cha uwezo tafadhali tushare ideas.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nili unlock hii modem ya tigo E 303, kwa offocial dcunlocker software. Ila baada ya kukamilisha zoezi nilivyocheki properties ikaonyesha capacity yake baada ni 7.5Mbps...

Watu wame unlock calibration ikawa 7.6Mbps lkn speed ya ku transmit haijabadilika mkubwa
Rejea Post ya #Shafin_simbamwene anadai hata kama imekuwa calibrated kuja 7.6Mbps lkn bado speed anapata mpaka 1.5MB/sec ambayo ni ndoto kwa modem ya 7.6Mbps

Hii naweza kuifanananisha na simu za clone ambazo ukienda phone storage inaandika 8GB ukiweka kwenye pc inakwambia 1GB

Hivo wewe calibration isikupe shida angalia perfomance kama imebaki ppale pale
 
msaada wakuu kuna jamaa yangu kaupgrade na firmware isiyo sahihi sasa modem yake haidetect port wala dashboard.
je kuna namna yoyote ya kuirecovery? C6 Mwl.RCT Kimox Kimokole Paje chief-mkwawa njunwa wamavoko Shaffin Simbamwene Mzizi mkavu......na wengineo wenye kujua.

Mwenyewe hii imewahi nikuta ila ndo hivo modem niko nimetunza tu ka kasha...
Ila kama ameinunua siku za karibuni mwambie arudishe awbie ni mbovu...ofcourse kama alinunua Tigoshop...

Or less na mm nawasikilizia wadau maana mm yangu ni ile E303s-1 nilijaribu kurudisha firmware yake kwa kutumia Huawei Flasher 1.6 lkn napata ujumbe "modem is deceased,try to flash in resurrect mode" nayo resurrect mode haikusaidia kitu nkaitunza tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom