Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,735
- 2,265
Sipingi biashara huria kakini this is too much!
Hapo ni Mbezi Beach Goig, Bagamoyo Road.
Miundombinu ya barabara inapogeuzwa kuwa na matangazo ya watu binafsi, hii ndio laisszes faire yaani machinga mentality kushamiri ndani ya wananchi.
Mitaro inazibwa bila aibu.
Taka zinatupwa barabarani .
Awamu ya sita mpo?