Machinga mentality: TANROADS mpo? Miundombinu ya serikali sasa inaingiliwa!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,735
2,265
20210803_073850.jpg

Sipingi biashara huria kakini this is too much!

Hapo ni Mbezi Beach Goig, Bagamoyo Road.

Miundombinu ya barabara inapogeuzwa kuwa na matangazo ya watu binafsi, hii ndio laisszes faire yaani machinga mentality kushamiri ndani ya wananchi.

Mitaro inazibwa bila aibu.
Taka zinatupwa barabarani .
Awamu ya sita mpo?
 
View attachment 1878118
Sipingi biashara huria kakini this is too much!

Hapo ni Mbezi Beach Goig, Bagamoyo Road.

Miundombinu ya barabara inapogeuzwa kuwa na matangazo ya watu binafsi, hii ndio laisszes faire yaani machinga mentality kushamiri ndani ya wananchi.

Mitaro inazibwa bila aibu.
Taka zinatupwa barabarani .
Awamu ya sita mpo?
Tena wamembipu Waziri wa Ujenzi kabisaaa!
Dr Chamuriho unataka mbuzi?
Simu hiyo kwenye traffic sign yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom