Maafisa wa kutuliza ghasia waanza kuwashughulikia wanafunzi wanaoandamana kuwatetea Hamas, vyuo navyo vyaanza kuwatimua

Putin ana arrest warrant from The Hague ila bado anadunda tu.
Kinachotakiwa kuitwa hatiani inatosha hayo mengine hatuitaji record zeweke sawa kwenye vitabu vya historia hizi mahakama ni zao Ulaya na Marekani.
 
Hawa wanafunzi ni vizuri wangeenda kuandamana huko gaza, iran sio kuja kuundamana nchi za kidemocrasia
kwani ni ajabu kwa wamarekani kuandamana kwa issue fulani? Hebu rudi kwenye historia uone jinsi walivyokuwa wakiandamana kupinga vita vya Vietnam enzi hizo. Na wengi walikuwa wakifanyiwa kama hivyo tu - kuwekwa ndani na kadhalika.

kwa hilo la ajabu ni kwetu tu.
 
Tofauti ya kwenda shule kukariri na kuelimika inaoneka kwenye mgogoro huu wakati wakristo wengi wa tanzania wakiiunga mkono israel kisa tu wamekarisrishwa ni taifa teule na upuuzi kama huo, na kuita hamas magaidi
Wakristo wa narekani , ulaya na nchi zilizoendelea kama southafrica huwa wanatumia akili na kuangalia tatizo kwa jicho pana mfano hawa wanafunzi wa vyuo marekani ,ambayo nchi yao ndio ililitunga hilo neno gaidi na kuliwekea sheria duniani, ila ajabu kondoo wa mwamposa ndio anajifanya anajua nani gaidi
Shule shule shule
Inasemekana wanaoandamana ni wahamiaji waislamu kutoka uarabuni,na wengine hata chuo hawasomi.
ISRAEL NI TAIFA TEULE
 
Ukiwa mjinga namna hiyo unaweza kumuona mzungu kama mungu, ndio maana hata yesu mlimuita mungu wakati ni binaadamu kama wewe na anakosea na ana hisia kama wewe.
Israel wakati anaanzisha vita hii hakutegemea resistance ya dunia kisi hiki
Hakutegemea kama leo marekani na duniani israel ingekosa huruma na kuonekana kama muhalifu
Hakutegemea na haijawahi kutokea israel angefikiria kama kuna siku marekani ingfikiria kuwawekea vikwazo
Israel hajawahi kufikiria kama kuna siku atapelekwa icc na kuwa issued arrest warrant
Tension na kutoelewana kati ya viongozi wa marekani na israel haijawahi kuwa kubwa namna hii
Nenda kasikilize interview ya the famous ex israel pm ehud barak ameeleza kila kitu kuwa hawa netanyahu na right wing wenzake ndio wameifikisha israel hapa na kuwafananisha na proud boys wa marekani, soma utawajua tabia zao, na sasa jews wote duniani na taifa la israel lipo kwenye risk kwa ajili yao, na akasisitiza netanyahu got everything wrong kwenye hii vita aresign for the interest ya israel
Juzi mkuu wa usalama wa israel karesign unajua kwa nini? Nendeni shule mkaelimike siyo kukariri hadi mnashindwa kufikiria
Ukiwa mjinga namna hiyo unaweza kumuona MWARABU kama mungu, ndio maana hata Muhamad na uzinzi, Ulawiti na ujambazi wake mnamfuata na ni binaadamu kama wewe na anakosea na ana hisia kama wewe.
 
Ukiwa mjinga namna hiyo unaweza kumuona MWARABU kama mungu, ndio maana hata Muhamad na uzinzi, Ulawiti na ujambazi wake mnamfuata na ni binaadamu kama wewe na anakosea na ana hisia kama wewe.
Harujawahi kumwita muhammad mungu ni mtume kama yesu na musa, na huo uzushi wenu hautowasaidia popote maana kwa matendo yenu nchi za makafiri inaonyesha nani anatukuza ushoga na ulawiti.
Huwezi kwenda nchi za kiislamu ukakuta matendo hayo ila vatican wanasupport na wamebariki hapo utaona nani anayeeneza matendo haya
huwa hatukuzi binaadamu wenzetu kama nyie hadi mmefiki kuchukua picha ya actor wa kizungu na kuweka makanisani na majumbani kwenu na kumwita mungu, hivi mpo sawa kweli
 
Inasemekana wanaoandamana ni wahamiaji waislamu kutoka uarabuni,na wengine hata chuo hawasomi.
ISRAEL NI TAIFA TEULE
Huyu ni kiongozi wa uingereza naye ni muhamiaji, ila leo ndio anaongoza maandamano uingereza
Marekani bernie senders ndio anongoza vugu vugu la kutetea wapalestina nae ni muhamiaji?
Kuna watu wamezaliwa wana utu na wameelimika wanajua kutofautisha ukweli na uongo, udhalimu na haki, na hao ndio wanaofanya maandamano ulaya na marekani
Katika mahakama ya icc wote majudge 12 ni wakristo na wazungu ila leo wanaandaa arrest warrant kwa ajili ya netanyahu na kundi lake, wanaweza kuhongwa na kunufaika sana wakiunga mkono israel ila utu na elimu wameamua kuchagua upamde wa wanyonge dhidi ya fedha na mataminio yao
 

Attachments

  • Screenshot_20240429-065919_Instagram.jpg
    Screenshot_20240429-065919_Instagram.jpg
    447.5 KB · Views: 1
Harujawahi kumwita muhammad mungu ni mtume kama yesu na musa, na huo uzushi wenu hautowasaidia popote maana kwa matendo yenu nchi za makafiri inaonyesha nani anatukuza ushoga na ulawiti.
Huwezi kwenda nchi za kiislamu ukakuta matendo hayo ila vatican wanasupport na wamebariki hapo utaona nani anayeeneza matendo haya
huwa hatukuzi binaadamu wenzetu kama nyie hadi mmefiki kuchukua picha ya actor wa kizungu na kuweka makanisani na majumbani kwenu na kumwita mungu, hivi mpo sawa kweli
mtume wa shetani. ni sawa ndo maana ana mambo ya ajabu sana.
 
mtume wa shetani. ni sawa ndo maana ana mambo ya ajabu sana.
Mafundisho yake ni mazuri ndio maana ukienda nchi zinazofuata sheria za kiislamu utakuta yanayofuatwa ni mafundisho mema,
Ila huko vatican na ulaya sina haja ya kukwambia unajionea mwenyewe sheria zao kama ni za mungu au za shetani, nadhani papa unajua juzi kawafundisha nini
 
Mafundisho yake ni mazuri ndio maana ukienda nchi zinazofuata sheria za kiislamu utakuta yanayofuatwa ni mafundisho mema,
Ila huko vatican na ulaya sina haja ya kukwambia unajionea mwenyewe sheria zao kama ni za mungu au za shetani, nadhani papa unajua juzi kawafundisha nini
yapi ya kulawiti mtoto wa miaka 9? au kulelewa na jimama? au kuua wasioamini uislamu kwa ahadi watapata mabikra? hayo hata mimi nayapenda ni rahisi mi napenda sana mademu na ndo maana napenda uislamu kwa upande huo upo vizuri na mfano mzuri ni mtume. aliwachapa nao sana wanawake
 
yapi ya kulawiti mtoto wa miaka 9? au kulelewa na jimama? au kuua wasioamini uislamu kwa ahadi watapata mabikra? hayo hata mimi nayapenda ni rahisi mi napenda sana mademu na ndo maana napenda uislamu kwa upande huo upo vizuri na mfano mzuri ni mtume. aliwachapa nao sana wanawake
Hizo ni story za vijiweni ila mafundisho yake yapo wazi nenda nchi za kiislamu ukajionee au waulize walionda qatar kwenye kombe la dunia watakwambia sheria na mafundisho ya mtume muhammad.
Na nenda kwenye nchi ambazo walioedit biblia kajionee vioja hata papa si kapigilia msumari juzi kuhusu haya nayosema hapo kuna cha kubishana kweli? Mbona kila kiti kipo wazi
 
Hizo ni story za vijiweni ila mafundisho yake yapo wazi nenda nchi za kiislamu ukajionee au waulize walionda qatar kwenye kombe la dunia watakwambia sheria na mafundisho ya mtume muhammad.
Na nenda kwenye nchi ambazo walioedit biblia kajionee vioja hata papa si kapigilia msumari juzi kuhusu haya nayosema hapo kuna cha kubishana kweli? Mbona kila kiti kipo wazi
Kwanini Muhammad alimuingilia mtoto anayepaswa kuwa Mjukuu wake?

waislam wengi Hutuficha juu ya muhammad kumuingilia mtoto wa miaka sita, wengi tunajua muhammad alifunga ndoa na mke wake mwenye umri mdogo zaidi Wala hakuna ubishi juu ya jambo hili,Muhammad alipokuwa na miaka karibu 53 na [A'isha] alikuwa na miaka tisa. Baadhi ya Waislam wanakataa maneno haya. Kama mtu atadai kuwa Muhammad na A'isha walijamiiana wakati A'isha alipokuwa na umri wa miaka tisa, na walifanya makosa, jambo hili litakuwa ni kashfa kubwa sana kwa Muhammad. Kwa upande mwingine, kama ilikuwa kweli, jambo hili litaonyesha sura tofauti kabisa ya Muhammad itakayo washtua watu wengi. Kwa hiyo basi, madai haya dhidi ya Muhammad ni ya kweli au uongo?

Andiko hili litaanza kwa kutoa ushahidi wa A'isha kuwa na miaka tisa wakati ndoa yake ilipokamilishwa kwa tendo la unyumba, kisha litatoa vipingamizi kadhaa dhidi ya jambo hilii.

1. Sahih al-Bukhari 810-870 BK, 256 BH

1a. "Alisimulia baba wa Hisham: Khadija alkufa miaka mitatu kabla ya Nabii kuondoka Madina. Alikaa huko miaka miwili au zaidi kisha akamuoa 'Aisha alipokuwa msichana mwenye umri wa miaka sita, na Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.

1b. Habari hizo zipo pia kwenye Bukharijuzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.234, uk.152.

1c. "Alisimulia 'Urwa: Nabii aliandika (mkataba wa ndoa) na 'Aisha wakati msichana alipokuwa na umri wa miaka sita na aliikamilisha ndoa yake nay eye kwa tendo la unyumba wakati akiwa na miaka tisa na 'Aisha aliendelea kuwa naye kwa miaka tisa (yaani mpaka kifo cha Nabii). Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 62 sura ya 60 na.88, uk.65.

1d. Alisimulia 'Aisha: Nabii alikuwa akinisitiri kwa Rida (vazi lenye kukinga sehemu ya juu ya mwili) yake nilipokuwa nawaangalia Waethiopia waliokuwa wanacheza kwenye ua wa nyuma wa msikiti. (Niliendelea kuangalia) hadi nilipotosheka. Hivyo unaweza kuelewa ni jinsi gani binti mdogo (ambaye hajafikia umri wa kuvunja ungo) ambaye ana hamu ya kufurahia burudani alivyofanyiwa mambo ya namna hii. Bukhari juzuu ya7 kitabu cha 62 sura ya 115 na.163, uk.119.

1e. "Alisimulia 'Aisha: (mke wa Nabii) sikumbuki kama wazazi wangu waliamini dini yoyote ile isipokuwa dini ya kweli (yaani Uislam), na (sikumbuki) siku yoyote iliyopita bila sisi kutembelewa na Mtume wa Allah asubuhi na jioni." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 4 na.245, uk.158. Kwa hiyo, 'Aisha ama hakuwa mkubwa ama hakuwa amezaliwa kabisa wakati wazazi wake walipo badili dini na kuwa Waislam. Jambo hili linaendana na yeye kuwa mtoto wakati ndoa yake na Muhammad ilipokamilishwa kwa tendo la unyumba.


2. Sahih Muslim 817-875 BK, 261 BH

Mkusanyiko huu unachukuliwa kuwa wa pili wenye kuaminika zaidi miongoni mwa Hadithi.

2a. "(3309) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa nyumbani mwake nikiwa na miaka tisa. (A'isha) Aliendelea kusema: Tulikwenda Madina na nilishikwa na homa kwa muda wa mwezi mmoja, na nywele zangu zilianguka hadi kwenye ndewe (masikioni). Umm Ruman (mama yangu) alikuja kwangu na wakati huo nilikuwa kwenye bembea pamoja na wenzangu ninaocheza nao. Mama aliniita kwa sauti na nilikwenda kwake na sikujua kwa nini aliniita. Alinishika mkono na kunipeleka mlangoni, na nilikuwa ninasema: Ha, ha (kana kwamba nilikuwa natweta kwa mshangao), mpaka msukosuko wa moyo ulipomalizika. Alinipeleka kwenye nyumba ambako walikuwa wamekusanyika wanawake wa the Ansar. Walinibariki na kunitakia bahati njema na kusema: Uwe na sehemu katika mambo mazuri. Mama alinikabidhi kwao. Waliniosha kichwa changu na kuniremba na hapakuwa na kitu kilichonitisha. Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alikuja pale asubuhi, na nilikabidhiwa kwake." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3309, uk.715-716.

2b. "(3310) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa kwenye nyumba yake nilipokuwa na miaka tisa."
(3311) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti kuwa Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alimuoa alipokuwa na miaka saba, na alipelekwa kwenye nyumba yake (Mtume) kama bibi arusi alipokuwa na miaka tisa, na hapa midoli (wanasesere) yalikuwa pamoja naye: na (Nabii Mtakatifu) alipokufa 'Aisha alikuwa na miaka kumi na nane." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3310, 3311, uk.716.
 
Kwanini Muhammad alimuingilia mtoto anayepaswa kuwa Mjukuu wake?

waislam wengi Hutuficha juu ya muhammad kumuingilia mtoto wa miaka sita, wengi tunajua muhammad alifunga ndoa na mke wake mwenye umri mdogo zaidi Wala hakuna ubishi juu ya jambo hili,Muhammad alipokuwa na miaka karibu 53 na [A'isha] alikuwa na miaka tisa. Baadhi ya Waislam wanakataa maneno haya. Kama mtu atadai kuwa Muhammad na A'isha walijamiiana wakati A'isha alipokuwa na umri wa miaka tisa, na walifanya makosa, jambo hili litakuwa ni kashfa kubwa sana kwa Muhammad. Kwa upande mwingine, kama ilikuwa kweli, jambo hili litaonyesha sura tofauti kabisa ya Muhammad itakayo washtua watu wengi. Kwa hiyo basi, madai haya dhidi ya Muhammad ni ya kweli au uongo?

Andiko hili litaanza kwa kutoa ushahidi wa A'isha kuwa na miaka tisa wakati ndoa yake ilipokamilishwa kwa tendo la unyumba, kisha litatoa vipingamizi kadhaa dhidi ya jambo hilii.

1. Sahih al-Bukhari 810-870 BK, 256 BH

1a. "Alisimulia baba wa Hisham: Khadija alkufa miaka mitatu kabla ya Nabii kuondoka Madina. Alikaa huko miaka miwili au zaidi kisha akamuoa 'Aisha alipokuwa msichana mwenye umri wa miaka sita, na Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.

1b. Habari hizo zipo pia kwenye Bukharijuzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.234, uk.152.

1c. "Alisimulia 'Urwa: Nabii aliandika (mkataba wa ndoa) na 'Aisha wakati msichana alipokuwa na umri wa miaka sita na aliikamilisha ndoa yake nay eye kwa tendo la unyumba wakati akiwa na miaka tisa na 'Aisha aliendelea kuwa naye kwa miaka tisa (yaani mpaka kifo cha Nabii). Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 62 sura ya 60 na.88, uk.65.

1d. Alisimulia 'Aisha: Nabii alikuwa akinisitiri kwa Rida (vazi lenye kukinga sehemu ya juu ya mwili) yake nilipokuwa nawaangalia Waethiopia waliokuwa wanacheza kwenye ua wa nyuma wa msikiti. (Niliendelea kuangalia) hadi nilipotosheka. Hivyo unaweza kuelewa ni jinsi gani binti mdogo (ambaye hajafikia umri wa kuvunja ungo) ambaye ana hamu ya kufurahia burudani alivyofanyiwa mambo ya namna hii. Bukhari juzuu ya7 kitabu cha 62 sura ya 115 na.163, uk.119.

1e. "Alisimulia 'Aisha: (mke wa Nabii) sikumbuki kama wazazi wangu waliamini dini yoyote ile isipokuwa dini ya kweli (yaani Uislam), na (sikumbuki) siku yoyote iliyopita bila sisi kutembelewa na Mtume wa Allah asubuhi na jioni." Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 4 na.245, uk.158. Kwa hiyo, 'Aisha ama hakuwa mkubwa ama hakuwa amezaliwa kabisa wakati wazazi wake walipo badili dini na kuwa Waislam. Jambo hili linaendana na yeye kuwa mtoto wakati ndoa yake na Muhammad ilipokamilishwa kwa tendo la unyumba.


2. Sahih Muslim 817-875 BK, 261 BH

Mkusanyiko huu unachukuliwa kuwa wa pili wenye kuaminika zaidi miongoni mwa Hadithi.

2a. "(3309) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa nyumbani mwake nikiwa na miaka tisa. (A'isha) Aliendelea kusema: Tulikwenda Madina na nilishikwa na homa kwa muda wa mwezi mmoja, na nywele zangu zilianguka hadi kwenye ndewe (masikioni). Umm Ruman (mama yangu) alikuja kwangu na wakati huo nilikuwa kwenye bembea pamoja na wenzangu ninaocheza nao. Mama aliniita kwa sauti na nilikwenda kwake na sikujua kwa nini aliniita. Alinishika mkono na kunipeleka mlangoni, na nilikuwa ninasema: Ha, ha (kana kwamba nilikuwa natweta kwa mshangao), mpaka msukosuko wa moyo ulipomalizika. Alinipeleka kwenye nyumba ambako walikuwa wamekusanyika wanawake wa the Ansar. Walinibariki na kunitakia bahati njema na kusema: Uwe na sehemu katika mambo mazuri. Mama alinikabidhi kwao. Waliniosha kichwa changu na kuniremba na hapakuwa na kitu kilichonitisha. Mjumbe wa Allah (amani na iwe juu yake) alikuja pale asubuhi, na nilikabidhiwa kwake." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3309, uk.715-716.

2b. "(3310) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti: Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alinioa nilipokuwa na miaka sita, na niliingizwa kwenye nyumba yake nilipokuwa na miaka tisa."
(3311) A'isha (Allah na apendezwe naye) aliripoti kuwa Mtume wa Allah (amani na iwe juu yake) alimuoa alipokuwa na miaka saba, na alipelekwa kwenye nyumba yake (Mtume) kama bibi arusi alipokuwa na miaka tisa, na hapa midoli (wanasesere) yalikuwa pamoja naye: na (Nabii Mtakatifu) alipokufa 'Aisha alikuwa na miaka kumi na nane." Sahih Muslim juzuu ya 2 kitabu cha 8 sura ya 548 na.3310, 3311, uk.716.
Tofauti yenu na sisi ni kwamba mnadanganyika kiurahisi sana nyie chochote mkiwekewa kwenye vitabu mnakubali ndio maana waUngu wamawapata kiurahisi sana na kina mwamposa.
Hizo story zenu za kutunga tunga hazijawahi kubadilisha sheria wala miongozo ya kiislamu ndio maana hakuna hata nchi moja ya kiislamu utaenda kukuta zinaa, ushoga,wizi au ulevi ila nchi za makafir na hii inaonyesha mafundisho aliyoleta muhammad, je hali ikoje upande wa pili? Ukweli ni umejaa wizi, zinaa ,ushoga , kamari na ulevi na hayo ndio mafundisho mliyopewa
Angalia huyu mchezaji alidondosha pochi lake uarabuni ,huyu ni mzungu , mkristo kwao ulaya unadhani ataacha kuupenda uislamu?
Wazungu walichoshindwa kuedit ni quran tu ipo moja tu na hawatoweza maana ipo kwenye vifua vyetu neno kwa neno na hwatoweza kubdilisha
 

Attachments

  • Screenshot_20240427-152048_Facebook.jpg
    Screenshot_20240427-152048_Facebook.jpg
    386.7 KB · Views: 1
Tofauti yenu na sisi ni kwamba mnadanganyika kiurahisi sana nyie chochote mkiwekewa kwenye vitabu mnakubali ndio maana waUngu wamawapata kiurahisi sana na kina mwamposa.
Hizo story zenu za kutunga tunga hazijawahi kubadilisha sheria wala miongozo ya kiislamu ndio maana hakuna hata nchi moja ya kiislamu utaenda kukuta zinaa, ushoga,wizi au ulevi ila nchi za makafir na hii inaonyesha mafundisho aliyoleta muhammad, je hali ikoje upande wa pili? Ukweli ni umejaa wizi, zinaa ,ushoga , kamari na ulevi na hayo ndio mafundisho mliyopewa
Angalia huyu mchezaji alidondosha pochi lake uarabuni ,huyu ni mzungu , mkristo kwao ulaya unadhani ataacha kuupenda uislamu?
Wazungu walichoshindwa kuedit ni quran tu ipo moja tu na hawatoweza maana ipo kwenye vifua vyetu neno kwa neno na hwatoweza kubdilisha

So unayakana maandishi? Mwamposa ana kitabu gani ameandika?
 
Back
Top Bottom