Wiki hii tumejionea baadhi ya wanavyuo wakijaribu kukusanyika kuwaatetea Hamas (ni wanafunzi hao hao wengi walikuwa na furaha siku ya October 7 Hamas walipoivamia Israel).
Maafisa wa polisi wakiwa na vifaa vya kutuliza ghasia (virungu, tasers, bakora) wanaendelea kusafisha kambi zilizowekwa vyuoni kutetea Hamas.
huyu ni Profesaa nahisi alidhani labda sheria hazimuhusu, kakutwa kwenye maandamano, maafisa wametekeleza wajibu wao kiukamilifu.
Maafisa wa polisi wakiwa na vifaa vya kutuliza ghasia (virungu, tasers, bakora) wanaendelea kusafisha kambi zilizowekwa vyuoni kutetea Hamas.
huyu ni Profesaa nahisi alidhani labda sheria hazimuhusu, kakutwa kwenye maandamano, maafisa wametekeleza wajibu wao kiukamilifu.