Maafisa wa kutuliza ghasia waanza kuwashughulikia wanafunzi wanaoandamana kuwatetea Hamas, vyuo navyo vyaanza kuwatimua

gearbox

JF-Expert Member
Apr 20, 2024
283
812
Wiki hii tumejionea baadhi ya wanavyuo wakijaribu kukusanyika kuwaatetea Hamas (ni wanafunzi hao hao wengi walikuwa na furaha siku ya October 7 Hamas walipoivamia Israel).

Maafisa wa polisi wakiwa na vifaa vya kutuliza ghasia (virungu, tasers, bakora) wanaendelea kusafisha kambi zilizowekwa vyuoni kutetea Hamas.









huyu ni Profesaa nahisi alidhani labda sheria hazimuhusu, kakutwa kwenye maandamano, maafisa wametekeleza wajibu wao kiukamilifu.

 
wanaoandamana Israel hawafikii hata asilimia 0.1 ya waisrael, ni kundi dogo sana, Hata vita ya Uganda kuna watanzania wapo wenye akili kama zako waliipinga
🤣 usifuatilie kwenye magazeti uwe unaangalia habari za kimataifa mara moja moja.
Hali ni tete wayahudi wamemchoka muuaji Netanyahu.
 
Wiki hii tumejionea baadhi ya wanavyuo wakijaribu kukusanyika kuwaatetea Hamas (ni wanafunzi hao hao wengi walikuwa na furaha siku ya October 7 Hamas walipoivamia Israel).

Maafisa wa polisi wakiwa na vifaa vya kutuliza ghasia (virungu, tasers, bakora) wanaendelea kusafisha kambi zilizowekwa vyuoni kutetea Hamas.

View attachment 2976113


View attachment 2976114


View attachment 2976115

huyu ni Profesaa nahisi alidhani labda sheria hazimuhusu, kakutwa kwenye maandamano, maafisa wametekeleza wajibu wao kiukamilifu.

View attachment 2976110
Nimecheka sawa hawa walokole wa Kigamboni uwa wanaamini Israel watawapeleka mbinguni kanisani kwa wameweka bendera za Israel😀 kama huyu mlokole yupo Cheka Kigambomi hataki raia wa Marekani waandamane kumpinga bwana wao aendelee kufanya mauaji ya watoto,
 
Nimecheka sawa hawa walokole wa Kigamboni uwa wanaamini Israel watawapeleka mbinguni kanisani kwa wameweka bendera za Israel😀 kama huyu mlokole yupo Cheka Kigambomi hataki raia wa Marekani waandamane kumpinga bwana wao aendelee kufanya mauaji ya watoto,
Vipi Mito ya Pombe Peponi kulewa tu na Beautful eyed Houries mabikira weupe hadi Marrow bones unaziona wapo kama unapotizama negative ya film, bila kusahau ushoga maana kila anayetamani kitu anapewa Bakhesa lazima akugeuze shoga wake, Mudy na Allah wamewadanganya sana alafu Punda chotara (Mule) ndio watawapaisha kwenye Jenah Firdaus
 
Wiki hii tumejionea baadhi ya wanavyuo wakijaribu kukusanyika kuwaatetea Hamas (ni wanafunzi hao hao wengi walikuwa na furaha siku ya October 7 Hamas walipoivamia Israel).

Maafisa wa polisi wakiwa na vifaa vya kutuliza ghasia (virungu, tasers, bakora) wanaendelea kusafisha kambi zilizowekwa vyuoni kutetea Hamas.

View attachment 2976113


View attachment 2976114


View attachment 2976115

huyu ni Profesaa nahisi alidhani labda sheria hazimuhusu, kakutwa kwenye maandamano, maafisa wametekeleza wajibu wao kiukamilifu.

View attachment 2976110
Hawa wanafunzi ni vizuri wangeenda kuandamana huko gaza, iran sio kuja kuundamana nchi za kidemocrasia
 
Kwani wenye takataka inayoitwa demokrasia ni nani? Au wanaojinasibu na "haki za binadamu" ni akina nani?

Sasa kwanini uitaje Saudi Arabia ambayo haina haya maigizo ya demokrasia?
Kama wanasupport ugaidi wa wapalestina wadhibitiwe mapema kabisa. Wanaleta vurugu vyuoni badala wasome
 
Back
Top Bottom