Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 3,334
- 5,651
Apumue tu tena awe anapumua mara 3 mfululizo hapo ndio mnapopapendakigezo kikuu kimoja tu,,apumue bas,,bandiko tosha
Apumue tu tena awe anapumua mara 3 mfululizo hapo ndio mnapopapendakigezo kikuu kimoja tu,,apumue bas,,bandiko tosha
Huu si uungwanaKuwajibika na nini wewe ushafika saa 12:45 JIONI Soko karibia linafungwa na hakuna ulichouza tangu asubuhi kifuatacho ni kuuza kwa bei ya hasara au kugawa bure au unataka uendelee kuchezea dildos?
Kapicha muhim kwelikweliWeka picha
Kuwajibika na nini wewe ushafika saa 12:45 JIONI Soko karibia linafungwa na hakuna ulichouza tangu asubuhi kifuatacho ni kuuza kwa bei ya hasara au kugawa bure au unataka uendelee kuchezea dildos?
Ila wote wana vitobo (matundu) 8 kwenye miili yao kwa hio wote wanafananaBro Usikariri maisha,Asha sio Anna
Kuwa na adabu mpumbavu wewe!!!Kuwajibika na nini wewe ushafika saa 12:45 JIONI Soko karibia linafungwa na hakuna ulichouza tangu asubuhi kifuatacho ni kuuza kwa bei ya hasara au kugawa bure au unataka uendelee kuchezea dildos?
Mpumbavu wewe na aliekuzaa, kuna tatizo gani kwani na wewe ushafika JIONI saa 1 kasoro?Kuwa na adabu mpumbavu wewe!!!
Kuwa na adabu mpumbavu wewe!!!
Nataka niwapumzishe kwa muda.Au kama vipi kunjeni mashati mpigane.Mpumbavu wewe na aliekuzaa, kuna tatizo gani kwani na wewe ushafika JIONI saa 1 kasoro?
Ananitaka kinyemela, aseme tukamalizane PM basiNataka niwapumzishe kwa muda.Au kama vipi kunjeni mashati mpigane.
Mkuu kwa niaba ya mtoa mada nikupongeze kwa maelezo mujarabu na ushauri uliompa, humu jamvini wapo watu waungwana lkn pia kumejaa viumbe wa ajabu sana! unaweza jiuliza kosa la mleta mada hapo ni lipi hasa kwa wale wanaokosoa na kuponda...unagundua tu kwamba lot of members are desperate and going through hell..mleta mada atapata mtu sahihi kbs kupitia post hii hii.My sister!
I am wishing you all the best in finding life partner, lover or husband.
Don't be discouraged with some comments. This is an open forum, there are people of different levels of understanding and exposure.
The best thing you can do is to ignore those negative comments, people are deeply hurt inside, full of regrets and sorrows, these people will try their best to discourage and to inflict pain, ignore them because they are suffering.
All the best.
Maisha yametuachia makovu na machungu mengi, kadiri tunavyokua wakubwa ni muhimu sana kuponya mioyo na akili zetu.Mkuu kwa niaba ya mtoa mada nikupongeze kwa maelezo mujarabu na ushauri uliompa, humu jamvini wapo watu waungwana lkn pia kumejaa viumbe wa ajabu sana! unaweza jiuliza kosa la mleta mada hapo ni lipi hasa kwa wale wanaokosoa na kuponda...unagundua tu kwamba lot of members are desperate and going through hell..mleta mada atapata mtu sahihi kbs kupitia post hii hii.
Mungu ampatie hitaji la moyo wake.
Miaka 35+ Mwanamke ni tayari JIONI Jua limeshazama acha kulemba ManenoMaisha yametuachia makovu na machungu mengi, kadiri tunavyokua wakubwa ni muhimu sana kuponya mioyo na akili zetu.
Wachache hufikia level za self-realization na self-awareness juu ya maisha na matukio yake.
Wengi wanaishi na machungu na wameathirika kiakili hata kwenye namna tu wanavyohusiana na watu wengine.
Ni kweli watu wapo desperate na wanapitia magumu kiasi ambacho mioyo yao imejaa uchungu na mambo ambayo ni negative kabisa.
Embu fikira jukwaa la mahusiano lakini mtu anashangaa na kuumizwa kuona mtu yupo hapa akihitaji mume/mpenzi ama rafiki.
Inatia huruma kuona watu wazima wamekua miili lakini akili zao bado zinaumia kwa matatizo waliyopitia wakiwa na miaka 7.
Jambo la muhimu kwako na kwangu ni kulea watoto wetu katika namna ambayo itawapunguzia maamivu wakati wa kukua kwao lakini pia kuwafanya kuwa watu wanaolewa maisha na wanaojielewa wenyewe.
Mpumbavu unayekuja public na kukojoa hovyo..nyoko weweMpumbavu wewe na aliekuzaa, kuna tatizo gani kwani na wewe ushafika JIONI saa 1 kasoro?
Akutane nani poyoyo km wewe?!..useless idiotAnanitaka kinyemela, aseme tukamalizane PM basi