Leo nimekula mihogo mitamu na laini kama keki maeneo ya Mbuyuni

Haha Mbeya vyakula bei rahisi sana mtu kula mihogo atake mwenyewe tu, kwanza binafsi hakuna mihogo mibaya niliyowahi kula kama ya Mbeya, napenda sana mihogo ila ya kule ilinishinda haki ya nani
Hahahaha, ni vile chakula kipo tele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom