Hahahaha, ni vile chakula kipo teleHaha Mbeya vyakula bei rahisi sana mtu kula mihogo atake mwenyewe tu, kwanza binafsi hakuna mihogo mibaya niliyowahi kula kama ya Mbeya, napenda sana mihogo ila ya kule ilinishinda haki ya nani
Hahahaha, ni vile chakula kipo teleHaha Mbeya vyakula bei rahisi sana mtu kula mihogo atake mwenyewe tu, kwanza binafsi hakuna mihogo mibaya niliyowahi kula kama ya Mbeya, napenda sana mihogo ila ya kule ilinishinda haki ya nani
Mihogo inashibisha lo.
Mihogo inashibisha lo.
Tupo pamoja nawe kenge mwenzetu.Na wewe kenge tu
Mbuyuni ya Wapi?? Moshi au Iringa?? Au Mbuyu wa Mjerumani Outside Arusha??Mbuyuni ya wapi..?
Tegeta au Gomzi...??
Afu kuna hii inasimama 24/7 wanapenda wadada sijui ndo wanaita DusheHiyo ni Mong'onyo....alafu kuna ile inatoa Unga sijui ndio wanaita mfaransa
Muhogo wa jang'ombe.Afu kuna hii inasimama 24/7 wanapenda wadada sijui ndo wanaita Dushe
Ahahah umemaliza kila kitu, huo ndo Mhogo Mkuu.Muhogo wa jang'ombe.
🤣🤣🤣 mwanza kumbe tuna angalauDar es salaam universities_Mihogo.
Udom_Ngano products.
Mbeya & Mwanza_Hawa Wana maisha mazuri angalau.
Sana mkuu🤣🤣🤣 mwanza kumbe tuna angalau