Leo nimekula mihogo mitamu na laini kama keki maeneo ya Mbuyuni

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,230
4,749
Wadau hamjamboni nyote

Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli!

Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo ya kukaanga ambayo ni mitamu na laini sana utadhani ni keki

Nimpongeze sana huyu mama mpishi aliyebadilisha mawazo yangu kabisa

Kumbe mihogo yaweza kuwa mitamu kuliko hata nyama ya kitimoto

Tuache dharau mihogo

IMG_20240418_152500.jpg
 
Wadau hamjamboni nyote

Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli!

Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo ya kukaanga ambayo ni mitamu na laini sana utadhani ni keki

Nimpongeze sana huyu mama mpishi aliyebadilisha mawazo yangu kabisa

Kumbe mihogo yaweza kuwa mitamu kuliko hata nyama ya kitimoto

Tuache dharau mihogo
Mkuu ulikua na njaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom