Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 3,750
- 11,091
Haujafa ktk Mazingira ya kazi bali BODA atakuwa kafa ktk Mazingira ya kazi.Hakuna kazi isiyokua na risk,unaweza ukapanda Bodaboda ili akuwahishe kazini kisha ukapata nae ajali huyo huyo bodaboda unayemdharau,
Hakuna kazi isiyokua na risk.