Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

ila 70% sio poa wakuu unatakiwa uwe vizuri kweli kweli kwaiyo ukipata chini ya 70% ndo kwa heri au wataku place kwenye hizi kazi za kawaida ambazo passmark ni 50%
Hawawezii kukuplace za kawaidaa maake interview ya ualimu inakuaga tofautii kidogo kwenye oral mkuu
 
Hawawezii kukuplace za kawaidaa maake interview ya ualimu inakuaga tofautii kidogo kwenye oral mkuu
Ukiacha kufundisha panel maana Kuna maswali pia after presentation Yale general question kama ya interview za kawaida. anyway ndo utaratibu wao hatuwezi badilisha kitu
 
Back
Top Bottom