Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Huwa kuna sababu mbalimbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya Jumamosi au Jumapili (kutokana na dhehebu).

Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo.

Nini sababu yako?
Wengine wengi ni baada ya kukosa majibu ya maswali yao kuhusu dini wanapo uliza kujiuliza: kwa vipi, kwa nini, kwa sababu gani?
 
Dahhhh.....
Ila kwetu michango imezidi mnoooo.....
1. Zaka
2.Sadaka
3. Mavuno
4. Utoto mtakatifu
5. Ujenzi wa nyumba ya Paroko
6. Ukarabati wa kanisa
7. Mfuko wa parokia
8. Wageni wa kanisa
9. Viti vya jumuiya
Ongeza na kuchangia mtoto wa mchungaji anaekwenda kusoma Marekani,hela ya maji njiani.
 
Nliacha baada ya kugundua kila kitu tulichofundishwa ni uongo dini ni kwa ajili ya kutupumbaza ili tuendelee kutawaliwa
 
Dahhhh.....
Ila kwetu michango imezidi mnoooo.....
1. Zaka
2.Sadaka
3. Mavuno
4. Utoto mtakatifu
5. Ujenzi wa nyumba ya Paroko
6. Ukarabati wa kanisa
7. Mfuko wa parokia
8. Wageni wa kanisa
9. Viti vya jumuiya
Ukitoka kanisani nenda kwenye jumuia sadaka na michango mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom