Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,280
- 47,511
Askofu Mark Malekana ni mataga
Ni wasabato pekee waliobaki nje ya siasa za kusifu na kuabudu!
Ni wasabato pekee waliobaki nje ya siasa za kusifu na kuabudu!
Uko sahihi mkuu, hawa jamaa ndio pekee waliojitenga na siasa za kutukuza watawala na kusimama katika imani yao
Sio kweli mkuuAskofu Mark Malekana ni mataga
Wengine wengi ni baada ya kukosa majibu ya maswali yao kuhusu dini wanapo uliza kujiuliza: kwa vipi, kwa nini, kwa sababu gani?Huwa kuna sababu mbalimbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya Jumamosi au Jumapili (kutokana na dhehebu).
Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo.
Nini sababu yako?
Ongeza na kuchangia mtoto wa mchungaji anaekwenda kusoma Marekani,hela ya maji njiani.Dahhhh.....
Ila kwetu michango imezidi mnoooo.....
1. Zaka
2.Sadaka
3. Mavuno
4. Utoto mtakatifu
5. Ujenzi wa nyumba ya Paroko
6. Ukarabati wa kanisa
7. Mfuko wa parokia
8. Wageni wa kanisa
9. Viti vya jumuiya
Dingi una zingua, akati we ndo mhasibu ujue,😆🤣Dahhhh.....
Ila kwetu michango imezidi mnoooo.....
1. Zaka
2.Sadaka
3. Mavuno
4. Utoto mtakatifu
5. Ujenzi wa nyumba ya Paroko
6. Ukarabati wa kanisa
7. Mfuko wa parokia
8. Wageni wa kanisa
9. Viti vya jumuiya
Hawana ushawishi ndio maana wanasiasa hawaendi kuwekeza kuleUko sahihi mkuu, hawa jamaa ndio pekee waliojitenga na siasa za kutukuza watawala na kusimama katika imani yao
Rafiki Yako bado wanaishi naeSiku ambapo padri GODIAN MSIGALA alivyomla mke wa rafiki yangu
Ukitoka kanisani nenda kwenye jumuia sadaka na michango mbele kwa mbeleDahhhh.....
Ila kwetu michango imezidi mnoooo.....
1. Zaka
2.Sadaka
3. Mavuno
4. Utoto mtakatifu
5. Ujenzi wa nyumba ya Paroko
6. Ukarabati wa kanisa
7. Mfuko wa parokia
8. Wageni wa kanisa
9. Viti vya jumuiya