Hivi kwani, wachungaji wa sasa hawawezi kuhubiri au kumwombea mtu bila kumuomba Muumini Sadaka!? tena anakupangia kiasi cha kutoa.

Rweyemam105

Member
Sep 8, 2012
33
54
Hallo wana JF.
Nimekuja na hoja binafsi, Kwanini sasa hivi kumeibuka wimbi la wanaojiita wachungaji, pale wanapofanya maombi either kwa njia ya hadhara au kwenye TV au Radio na mitandao ya Jamii, hutanguliza mbele Sadaka ili waweze kukuombea matatizo yako!?

Naomba nitoe mfano ili niweze kueleweka vizuri mada yangu ninayoileta hapa JF.

Majuzi kati nilikuwa zangu pande za Moshi, wakati nimejipumzisha usiku, nikawa nimefungulia Radio moja pendwa pande za Moshi, kukawa na kipindi cha mahubiri. Mchungaji akawa anahubiri kwa mbwembwe huku akitabiria wale wanaopiga simu na wengine wakiwa wanalipuka Mapepo kwenye Radio, baadae wanajifanya wameponywa kwa maombezi hayo kupitia simu. Binafsi yangu nilipojaribu kupiga simu, namba zake zote nne alizotoa, hazikuwa zinapatakana zaidi ya kusema "Simu unayopiga inatumika kwa sasa" hata pale ambapo hakuwa anaongea na mtu online/live kwenye radio, simu zote zilikuwa Busy.

Cha ajabu na kushangaza akawa anahimiza watu waendelee kupiga simu au kutuma ujumbe "Yesu Nitendee Muujiza"

Baada ya kuona namba zote hazipatikani, nikajitosa kwa maelekezo kwamba utume ujumbe wa sms "Yesu nitendee Muujiza" baada ya kipindi kuisha saa sita na nusu usiku, nikapokea sms inayonitaka kutoa kwanza Sadaka ili niweze kuombewa na kutabiriwa Maisha yangu.

Najaribu kujiuliza, ni wajinga wangapi wanaoingia kwenye hii mitego ya hawa wachungaji ambao wako kimaslahi yao binafsi.!? Mchungaji badala ya kusaidia waumini walio na shida, wewe ndio unakuwa wa kwanza kuwakandamiza kwa kuwakamua Sadaka ya kujimaliza, yaani unatoa hadi sent ya mwisho ili Mungu aweze kukutendea Miugiza, huku, huyo mchungaji akiwa na shida ya Makazi au usafiri, waumini ndio wanachangishwa harambee ili kufanikisha hitajio la Mchungaji. Ikifikia Zamu yako, umepatwa na dhahama ya kukosa RENT au Ada ya watoto shuleni, uongozi wa Kanisa unaitwa kwa ajili ya kuwaombea maombi na miugiza. Huku sadaka na ZAKA, fungu la kumi, sadaka za shukrani zikienda kujenga miradi kama Shule/hotel/hospital binafsi ya Kiongozi wa huduma(Pastor/Muonaji wa Sadaka zenu).


Kweli waumini waliowengi tutafika mbinguni tumechoka na viboko juu kwa kukosa maarifa. Na wala hakuna atakaye kusikiliza utetezi wako kuwa sikujua kama yule Pastor alikuwa Mchumia tumbo.

Ni wasaa umefika, serikali kuangazia ktk haya Makanisa na huduma ambazo ziko kimkakati wa kujinufaisha wao kama kikundi/genge huku waumini wakibakia maskini, wavivu wa kufanyakazi huku wakiaminishwa kuwa watakuwa matajiri pale watakapo ambatana na huduma zao.

NB: Watanzania tuamke. Ni kazi pamoja na bidii ndio itakayo kukwamua katika hali ngumu unayopita. Usisubirie Muugiza popote pale. Miugiza ingekuwepo, usingeitishwa kwenda kwenye harambee ya kuchangisha pesa ya kumnunulia Pastor usafiri au kumjjengea makazi, huku wewe/mimi tukikimbizana kumkwepa Mama mwenye nyumba.

Sifundishi watu kuwa makaidi kutokutoa sadaka, La hasha. Ila pale unapohitajika kufanya hivyo, basi uwe umeongozwa na Roho wa Mungu na wala sio mihemko ya Pastor wako ambaye mkishaachana hapo kanisani, anapopaita madhabahu, dakika mbili tatu, Sadaka yako inapeleka watoto wake KFC, Shule Ulaya/Feza schools.

Wenye mtazamo mdogo, wataona kuwa ninawaonea Wachungaji wivu. Ila ukweli siku zote ni mchungu, na utabakia kuwa ukweli daima.
Screenshot_20240502-195918_Messages.jpg
 
Hizo sio sadaka, ni michango kwa ajili ya uendeshaji wa huduma.... kulipia airtime TV mchezo?
 
Hallo wana JF.
Nimekuja na hoja binafsi, Kwanini sasa hivi kumeibuka wimbi la wanaojiita wachungaji, pale wanapofanya maombi either kwa njia ya hadhara au kwenye TV au Radio na mitandao ya Jamii, hutanguliza mbele Sadaka ili waweze kukuombea matatizo yako!?

Naomba nitoe mfano ili niweze kueleweka vizuri mada yangu ninayoileta hapa JF.

Majuzi kati nilikuwa zangu pande za Moshi, wakati nimejipumzisha usiku, nikawa nimefungulia Radio moja pendwa pande za Moshi, kukawa na kipindi cha mahubiri. Mchungaji akawa anahubiri kwa mbwembwe huku akitabiria wale wanaopiga simu na wengine wakiwa wanalipuka Mapepo kwenye Radio, baadae wanajifanya wameponywa kwa maombezi hayo kupitia simu. Binafsi yangu nilipojaribu kupiga simu, namba zake zote nne alizotoa, hazikuwa zinapatakana zaidi ya kusema "Simu unayopiga inatumika kwa sasa" hata pale ambapo hakuwa anaongea na mtu online/live kwenye radio, simu zote zilikuwa Busy.

Cha ajabu na kushangaza akawa anahimiza watu waendelee kupiga simu au kutuma ujumbe "Yesu Nitendee Muujiza"

Baada ya kuona namba zote hazipatikani, nikajitosa kwa maelekezo kwamba utume ujumbe wa sms "Yesu nitendee Muujiza" baada ya kipindi kuisha saa sita na nusu usiku, nikapokea sms inayonitaka kutoa kwanza Sadaka ili niweze kuombewa na kutabiriwa Maisha yangu.

Najaribu kujiuliza, ni wajinga wangapi wanaoingia kwenye hii mitego ya hawa wachungaji ambao wako kimaslahi yao binafsi.!? Mchungaji badala ya kusaidia waumini walio na shida, wewe ndio unakuwa wa kwanza kuwakandamiza kwa kuwakamua Sadaka ya kujimaliza, yaani unatoa hadi sent ya mwisho ili Mungu aweze kukutendea Miugiza, huku, huyo mchungaji akiwa na shida ya Makazi au usafiri, waumini ndio wanachangishwa harambee ili kufanikisha hitajio la Mchungaji. Ikifikia Zamu yako, umepatwa na dhahama ya kukosa RENT au Ada ya watoto shuleni, uongozi wa Kanisa unaitwa kwa ajili ya kuwaombea maombi na miugiza. Huku sadaka na ZAKA, fungu la kumi, sadaka za shukrani zikienda kujenga miradi kama Shule/hotel/hospital binafsi ya Kiongozi wa huduma(Pastor/Muonaji wa Sadaka zenu).


Kweli waumini waliowengi tutafika mbinguni tumechoka na viboko juu kwa kukosa maarifa. Na wala hakuna atakaye kusikiliza utetezi wako kuwa sikujua kama yule Pastor alikuwa Mchumia tumbo.

Ni wasaa umefika, serikali kuangazia ktk haya Makanisa na huduma ambazo ziko kimkakati wa kujinufaisha wao kama kikundi/genge huku waumini wakibakia maskini, wavivu wa kufanyakazi huku wakiaminishwa kuwa watakuwa matajiri pale watakapo ambatana na huduma zao.

NB: Watanzania tuamke. Ni kazi pamoja na bidii ndio itakayo kukwamua katika hali ngumu unayopita. Usisubirie Muugiza popote pale. Miugiza ingekuwepo, usingeitishwa kwenda kwenye harambee ya kuchangisha pesa ya kumnunulia Pastor usafiri au kumjjengea makazi, huku wewe/mimi tukikimbizana kumkwepa Mama mwenye nyumba.

Sifundishi watu kuwa makaidi kutokutoa sadaka, La hasha. Ila pale unapohitajika kufanya hivyo, basi uwe umeongozwa na Roho wa Mungu na wala sio mihemko ya Pastor wako ambaye mkishaachana hapo kanisani, anapopaita madhabahu, dakika mbili tatu, Sadaka yako inapeleka watoto wake KFC, Shule Ulaya/Feza schools.

Wenye mtazamo mdogo, wataona kuwa ninawaonea Wachungaji wivu. Ila ukweli siku zote ni mchungu, na utabakia kuwa ukweli daima. View attachment 2979245
Bila shaka ni pasta Muliri na manabii feki wenzie ama wanaofanana nane. Na mimi kuna siku nilijaribu kupiga simu akiwa kipindi redioni ikawa busy busy. Afu akasema kama hunipati hata usiku wa manane unaweza tu kunipigia tutazungumza.. nikajua huyu msanii mpigaji tu
 
K
Hallo wana JF.
Nimekuja na hoja binafsi, Kwanini sasa hivi kumeibuka wimbi la wanaojiita wachungaji, pale wanapofanya maombi either kwa njia ya hadhara au kwenye TV au Radio na mitandao ya Jamii, hutanguliza mbele Sadaka ili waweze kukuombea matatizo yako!?

Naomba nitoe mfano ili niweze kueleweka vizuri mada yangu ninayoileta hapa JF.

Majuzi kati nilikuwa zangu pande za Moshi, wakati nimejipumzisha usiku, nikawa nimefungulia Radio moja pendwa pande za Moshi, kukawa na kipindi cha mahubiri. Mchungaji akawa anahubiri kwa mbwembwe huku akitabiria wale wanaopiga simu na wengine wakiwa wanalipuka Mapepo kwenye Radio, baadae wanajifanya wameponywa kwa maombezi hayo kupitia simu. Binafsi yangu nilipojaribu kupiga simu, namba zake zote nne alizotoa, hazikuwa zinapatakana zaidi ya kusema "Simu unayopiga inatumika kwa sasa" hata pale ambapo hakuwa anaongea na mtu online/live kwenye radio, simu zote zilikuwa Busy.

Cha ajabu na kushangaza akawa anahimiza watu waendelee kupiga simu au kutuma ujumbe "Yesu Nitendee Muujiza"

Baada ya kuona namba zote hazipatikani, nikajitosa kwa maelekezo kwamba utume ujumbe wa sms "Yesu nitendee Muujiza" baada ya kipindi kuisha saa sita na nusu usiku, nikapokea sms inayonitaka kutoa kwanza Sadaka ili niweze kuombewa na kutabiriwa Maisha yangu.

Najaribu kujiuliza, ni wajinga wangapi wanaoingia kwenye hii mitego ya hawa wachungaji ambao wako kimaslahi yao binafsi.!? Mchungaji badala ya kusaidia waumini walio na shida, wewe ndio unakuwa wa kwanza kuwakandamiza kwa kuwakamua Sadaka ya kujimaliza, yaani unatoa hadi sent ya mwisho ili Mungu aweze kukutendea Miugiza, huku, huyo mchungaji akiwa na shida ya Makazi au usafiri, waumini ndio wanachangishwa harambee ili kufanikisha hitajio la Mchungaji. Ikifikia Zamu yako, umepatwa na dhahama ya kukosa RENT au Ada ya watoto shuleni, uongozi wa Kanisa unaitwa kwa ajili ya kuwaombea maombi na miugiza. Huku sadaka na ZAKA, fungu la kumi, sadaka za shukrani zikienda kujenga miradi kama Shule/hotel/hospital binafsi ya Kiongozi wa huduma(Pastor/Muonaji wa Sadaka zenu).


Kweli waumini waliowengi tutafika mbinguni tumechoka na viboko juu kwa kukosa maarifa. Na wala hakuna atakaye kusikiliza utetezi wako kuwa sikujua kama yule Pastor alikuwa Mchumia tumbo.

Ni wasaa umefika, serikali kuangazia ktk haya Makanisa na huduma ambazo ziko kimkakati wa kujinufaisha wao kama kikundi/genge huku waumini wakibakia maskini, wavivu wa kufanyakazi huku wakiaminishwa kuwa watakuwa matajiri pale watakapo ambatana na huduma zao.

NB: Watanzania tuamke. Ni kazi pamoja na bidii ndio itakayo kukwamua katika hali ngumu unayopita. Usisubirie Muugiza popote pale. Miugiza ingekuwepo, usingeitishwa kwenda kwenye harambee ya kuchangisha pesa ya kumnunulia Pastor usafiri au kumjjengea makazi, huku wewe/mimi tukikimbizana kumkwepa Mama mwenye nyumba.

Sifundishi watu kuwa makaidi kutokutoa sadaka, La hasha. Ila pale unapohitajika kufanya hivyo, basi uwe umeongozwa na Roho wa Mungu na wala sio mihemko ya Pastor wako ambaye mkishaachana hapo kanisani, anapopaita madhabahu, dakika mbili tatu, Sadaka yako inapeleka watoto wake KFC, Shule Ulaya/Feza schools.

Wenye mtazamo mdogo, wataona kuwa ninawaonea Wachungaji wivu. Ila ukweli siku zote ni mchungu, na utabakia kuwa ukweli daima. View attachment 2979245
Kwa sababu ninyi waumini ni MAFALA
Wajapan kufikia quality ya maisa waliyonayo,waliombewa na wachungaji wepi?
Maendeleo ya DUBAI yalitokana na wachungaji gani?
 
Kwanini mtu uombewe na mwenzako? Kwani yeye yupo karibu zaidi na Mungu kuliko wewe? Au yeye ndio atasikilizwa na Mungu na wewe Mungu hatakusikiliza? Kwanini usijiombee wewe mwenyewe?
Ndio ujinga wa hali ya juu huu. Watu hawataki kuwa na uhusiano mwema na Mungu ili wamwombe lolote sasa kuna matapeli wanajifanya wako karibu zaidi na Mungu wakuombee Huo siyo ukristo ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa.Yesu amesema tukikaa katika pendo lake tuombe lolote tutapewa. Kuishi kwa kuombewa ni upumbavu. Hata baba yako tu ukitegemea ndugu yako ndiye aende akakuombee kitu ina maana huna uhusiano mzuri na mzazi wako.
 
Bila shaka ni pasta Muliri na manabii feki wenzie ama wanaofanana nane. Na mimi kuna siku nilijaribu kupiga simu akiwa kipindi redioni ikawa busy busy. Afu akasema kama hunipati hata usiku wa manane unaweza tu kunipigia tutazungumza.. nikajua huyu msanii mpigaji tu
Zile simu ni vitu wamewapanga watu wao wakarekodi. Chunguza hata sauti za wanaopiga simu ni zile zile kila siku. Siku hizi hata waganga wa kienyeji redioni wanatumia mtindo huo.
 
Kwa mimi niliyosoma kitabu cha biblia inasema baadhi ya maandiko yafuatayo,
1. Hakuna Ibada pasipo SADAKA
2. Hakuna mtu atakayejitokeza mbele za Bwana mikono mitupu
3.Hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako,
4. Tunatakiwa kutoa kwa Moyo wa Kupenda ('Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha. ' Marko 12:42),
ila sasa wahubiri na manabii wa sasa wanatumia vifungu hivi hivi kujipatia pesa. hiyo ndo misingi ya ibada na sadaka kwa ufupi. wahubiri siku hizi wanatumia mistari ya biblia kutupigia mule mule kwenye shida zao..
 
Back
Top Bottom