Kwanini NECTA haitangazi matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili!?

Wako busy Wanaboost mikoa ile aliyotoka Mheshimiwa isiwe ya mwisho mwisho
 
Leo saa nne asubuhi matokeo yanatangazwa
IMG-20220115-WA0000.jpg
 
Zamani ya kidato Cha nne ilikuwa mwezi wa nne ndiyo yanatoka

Naona siku hizi wanamashine zakupika fasta
 
Back
Top Bottom