tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 20,039
- 25,315
Wakuu mtoto majina yake yalikosewa sana kuandikwa kwa usahihi wakati wa usajili darasa la saba, jina Lake na jina la Baba. Hivyo alianza kidato cha kwanza kwa majina hayo hayo licha ya kupambana katika level ya shule kuyaandika sawa lakini mkuu aligoma.
Sasa anaingia kidato cha pili, level ambayo atafanya mtihani na atasajiliwa tena. Naomba mawazo yenu tufanyeje ili tufanikiwe yaandikwe kwa usahihi. Yani niwasikiane na NECTA ama nani ili yawe sawa,maana itasumbua huko mbele ya safari.
NB: msaada wenu uambatane na mawasiliano ya sehemu husika.Ahsanteni
CC: Adolf Mkenda - Waziri wa elimu.
Sasa anaingia kidato cha pili, level ambayo atafanya mtihani na atasajiliwa tena. Naomba mawazo yenu tufanyeje ili tufanikiwe yaandikwe kwa usahihi. Yani niwasikiane na NECTA ama nani ili yawe sawa,maana itasumbua huko mbele ya safari.
NB: msaada wenu uambatane na mawasiliano ya sehemu husika.Ahsanteni
CC: Adolf Mkenda - Waziri wa elimu.