magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,608
- 13,704
Kiufupi huko Mambele hawayaki ushindi wa kanuni, ushindi wa makaratasi. Yaani tumetoka 3-3 unaniambia nimetoka na mzani umebalansi.Bora lingebaki tu,game ya kwanza imeisha 3-3 Yani kwa lugha nyingine Kama wametoka 0-0 tu,Ina maana gani??tupambane ugenini tupate 3 halafu tunarudi home tunaanza na 0??