MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,241
- 2,441
Kumbe mmeumia wengi!Yani kama ulikuwa kichwani mwangu....ninachojua Tundu Lisu sio mpya katika uongozi...tunamfaham na kipo cha kuangalia na kuona performance yake...
Kiujumla performance ya TL kwenye uwajibikaji ni extremly zero...wana Ikungi wanalia watoto wanakaa chini mashuleni kisa TL alihamasisha wananchi wasishiriki ktk kujiletea maendeleo...leo wanamlaani
Ukiangalia kwenye chama chake ndo usiseme hawajawa msaada wakuleta mageuzi ya kweli zaidi ya kuwalinda mafisadi na kutetea wauza unga mahakamani...
TLS under TL there is no bright future