Kwa mapishi najimini

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
Wakiitwa wanaojua kukarangiza lazima na mie niende. Kwa mambo ya jikoni nimebarikiwa.
ukitaka vya kihindi utadhani nimezaliwa bombay,ukija vya kichina na Thailand achilia mbali vya Mexico na vya kizungu. Sasa ukila ugali na dagaa nilizopika mie lazima ujingate vidole. I am the kitchen queen.
6091529295_1708ae2cb4[1].jpg
6091529295_1708ae2cb4[1].jpg
avocadoAndShrimpSalad[1].jpg
cocoricestep4[2].jpg
black-woman-cooking[1].jpg
imagesCA4WBN71.jpg
imagesCAMVSIBI.jpg
 
Ugali wa mtama na mboga ya mlenda unaweza kupika???

ugali wa mtama sijawahi pika wala kula ila mmlenda ndo kipenzi changu kwa ugali,napika milenda ya aina,kuna mlenda wa kuroast,wa kuteleza,kuna mlenga wa unga,kuna milenda ya aina nyingi,mingi naweza kuipika.
 
We mtoto usijeacha nikazamia meli ya Mgiriki nije huko uliko!...Saa mbaya hizi bana, kuweka menyu za mvuto namna hii utaacha nalowanisha madaftari ya mkoloni!
By Ze Way, hiyo avetari yako ndo tayari ushabarikiwa nini?...nauliza ili tuanzishe mchakato huku!
 
We mtoto usijeacha nikazamia meli ya Mgiriki nije huko uliko!...Saa mbaya hizi bana, kuweka menyu za mvuto namna hii utaacha nalowanisha madaftari ya mkoloni!
By Ze Way, hiyo avetari yako ndo tayari ushabarikiwa nini?...nauliza ili tuanzishe mchakato huku!

huna haja ya kuzamia meli mkuu muda si mrefu huduma za menu hizi nitazisogeza karibu yako.
anzisha tu mchakato kwani hata kama bado si tutaziifadhi kwa matumizi ya baadae
 
Back
Top Bottom