Ukiwa kanisani umesikia harufu ya kitimoto au?Ngoja tutoke kanisani kwanza
Rosti ama choma.Wantia hamu....
Choma + ndizi mbili+ kachumbali+ biaRosti ama choma.
🤣🤣🤣🤣 mtego wa kitambi huo .Choma + ndizi mbili+ kachumbali+ bia
Na kitimoto ni nyama nyeupe. Haileti madhara makubwa kama red meatApo tu ndio naonaga umuhimu wa wakristo , wasingekuwepo huyu mdudu mtam sidhani kama angekuwepo tena humu duniani.
Kabisa pia usisahau kusema ni tamu hakuna mfano wake.Na kitimoto ni nyama nyeupe. Haileti madhara makubwa kama red meat
😁😁😁Kabisa pia usisahau kusema ni tamu hakuna mfano wake.
Pia ni laini na unaweza kula mpaka ngozi...kama kuku tuNa kitimoto ni nyama nyeupe. Haileti madhara makubwa kama red meat