Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 923
- 4,308
Nchi haitaki watu wenye akili kubwa kuliko watoto wa viongozi wakuu wa nchi. Viongozi waandamizi wanatamani wangezaa watoto kama John Pambalu lakini bahati haikuwa yao. Wao wamebahati kuzaa watoto wanaofundishwa siasa na maisha wakati wakina Pambalu uzaliwa na akili ya kipaji.
Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.
Kulinda watoto wa wa wakubwa ipo mikakati yakununua wenye akili timamu wanaojisimamia na kwenda kuwanyamazisha kwa kigezo cha mshahara.
Najiuliza je CCM wapo tayari kuona vijana kama Pambalu wanastawi? Au watampa wilaya kama wakina Nassary? Waoneeni vijana huruma ninyi familia za wanaojiona wao ndio waamuzi wa nani awe Rais na Waziri Mkuu......
Vipaji vingi vya vijana vimekufa kwa chama tawala kuogopa compitatiion wanayoweza kuleta kwa watoto wao. Vijana kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, NONDO, Nassary na wengine wa aina hii wanapigwa vita wasijekuwa popular nchi ikaja ikapata Rais kutoka kwa wakulima na wafugaji.
Kulinda watoto wa wa wakubwa ipo mikakati yakununua wenye akili timamu wanaojisimamia na kwenda kuwanyamazisha kwa kigezo cha mshahara.
Najiuliza je CCM wapo tayari kuona vijana kama Pambalu wanastawi? Au watampa wilaya kama wakina Nassary? Waoneeni vijana huruma ninyi familia za wanaojiona wao ndio waamuzi wa nani awe Rais na Waziri Mkuu......