Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Za usiku
Wakuu nimeamua niwausie kuhusu kale kamchezo kakulamba papuche,yan yamenikuta makubwa nduguzanguni
Nilijifanya funding kwa Dada mmoja nikazama chumvini sio siri huyu mdada kaniganda sana kwa kuwa nilimalza mzgo wa uraru lakn Sikh chache baadae nikaanza kuhisi mabadiliko mdomoni .
Koo lilinikauka saaana
Kuna utandu mzito ulikwama kooni kama, kohoz flani ila halitemeki
Nilikua nahisi kama nina kidonda nikikosa raha sana
Bahati nzury nikatumia dawa ya HABATSODA ya unga na,mafuta simultaneously
Baada ya,mwezi nikapona lile tatzo
Ila huyu Dada kaniganda sana anataka tena na tena ila sitalamba lambs tena
Wakuu chumvini siyo mahali salama,tutumie utundu mwingne tu ila cyo huo mchezo mwenzenu nimeponea chupuchupu,ila habatsoda,ni dawa jamani
Bado hujapona..subiria canser ya koo iletwayo na HPV..HUMAN PAPILLOMA VIRUS..inachukua mda mrefu ku take off...achaneni na chumvi..

Na nyie midada ya sikuizi ..acheni kujiendekeza ..mwanaume asipo kusak...utasikia OOO HAJUI MAJAMBOOOZZZ
 
Bado hujapona..subiria canser ya koo iletwayo na HPV..HUMAN PAPILLOMA VIRUS..inachukua mda mrefu ku take off...achaneni na chumvi..

Na nyie midada ya sikuizi ..acheni kujiendekeza ..mwanaume asipo kusak...utasikia OOO HAJUI MAJAMBOOOZZZ
Hiyo ni gari iliyotembea sana ndio inayoweza kuleta matatizo na maradhi
Kama gari haijapigwa sterter gari mpya au imetembea kilomita 3
Halafu imeoshwa vizuri utapataje maradhi
Ukitaka kwenda chumvini chagua mashine mpya au haijatumika sana
Ila ukienda chumvini na mashanginhi yanayojiuza yanagongwa kutwa mara 3 lazima upate ugonjwa tu
CHUMVI NI TAMU KULIKO SUKARI
Walijua hilo
 
Back
Top Bottom