African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 800
- 1,425
Bora kwenye nini? Unaupimaje ubora?Wewe na viongozi wako mnaoamini huyo Mungu na chama cha kikomunisti cha China wasio amini huyo nani bora ?
Bora kwenye nini? Unaupimaje ubora?Wewe na viongozi wako mnaoamini huyo Mungu na chama cha kikomunisti cha China wasio amini huyo nani bora ?
Kiwango cha ujinga, umasikini, maendeleo, kutokujieleea baina yenuBora kwenye nini? Unaupimaje ubora?
Bahati mbaya mliyonayo Mungu Alisha jifunua Kwa watu na ameshafunga huo ukurasa kilichobaki Sasa ni maandiko tuHakuna Mungu/mungu kwa maana ya sifa na tabia mlizozianisha kwenye vile vitabu vyenu.
Hakuna Mungu/mungu kwa aina ya vitisho mnavyowatishia watu
Hakuna Mungu/mungu kwa sababu sababu Hana athari kwenye maisha yako wewe, vizazi vyako na Taifa kwa ujumla.
Ndio maana ikaiwa Imani tu
Alijifunua kwa nani?Bahati mbaya mliyonayo Mungu Alisha jifunua Kwa watu na ameshafunga huo ukurasa kilichobaki Sasa ni maandiko tu
Wajinga hawawezi kuisha hapa duniani hata kama Leo hii Mungu atajifunua kwenu na mkaamini kuwa yupo believe me miaka 200 ijaya watatokea tena wajinga kama nyinyi watasema hakuna Mungu
Mbona hata wazungu wanaamini uwepo wa Mungu na dini ndio imeshape maisha na maendeleo Yao.Na hiki ndicho waliotuletea hizo dini walichokitaka (UOGA) na wamefanikiwa 100% kwa waafrikaView attachment 2756463
Kuna Mungu na miunguKuna Power kubwa iliyoumba ulimwengu na kuvipa uhai vyote vilivyo hai,lakini sio hiyo miungu ya kwenye vitabu vyenu,hiyo ni miungu mliyojitengenezea kwa malengo na matakwa yenu ya upumbafu na ujinga.
Imani ni nguvu iliyomo ndani mwa mtu.Hakuna Mungu/mungu kwa maana ya sifa na tabia mlizozianisha kwenye vile vitabu vyenu.
Hakuna Mungu/mungu kwa aina ya vitisho mnavyowatishia watu
Hakuna Mungu/mungu kwa sababu sababu Hana athari kwenye maisha yako wewe, vizazi vyako na Taifa kwa ujumla.
Ndio maana ikaiwa Imani tu
Kama yupo basi ye ndio kanikosea sana kwanini ajifiche?Mzee umemkosea sana mungu sema kuna sehemu mnafeli maombi yanaitaji mtu uwe msafi kiroho sasa wew Msela nondo ni ngumu kuamini kwanza ndio unaweza nguvu za mungu au kunyakati hujazifikia wew ishi ila Kuna siku anaweza kukuaminisha yupo
Imani na nnguvu ni vitu viwili tofauti.Imani ni nguvu iliyomo ndani mwa mtu.
Yaani positivity
Watu wamekuwa wakiaminishwa vitu visivyokuwepo na visivyokuwa na msaada zaidi ya kutiana ujinga na umaskini, vikiendelea kunufaisha watu wachache, dini ni ujinga na utapiamlo wa ubongo.Nyie watu wa dini sijui mna akili za namna gani kwanza sio wavumilivu kwa wale wasio kubaliana na mafundisho yenu.
Mnapenda kuforce watu wote wawe kama nyie kuishi, kufikiri na kutenda.
Halafu wanafiki sana nyie sijui mafundisho yenu ndio yana haya maujinga ni watu mlio na tabia za kijinga zisizo vumilika.
Kwa mfano wewe hapo watu wasiopo muamini sijui huyo Mungu wako wewe unaathirika nini ? mbona wasio amini wapo ok ila wewe ndie unashwa na kugadhabika wasipo muamini huyo Mungu wako ?
Watu hatuamini huwepo wa hivyo vitu lakini tunatenda yale yanayapaswa kutendwa na binadamu mwenye utu na aliyestaharabika, endeleeni na unafiki wenu...kabla ya hizi dini mababu zetu walikuwa wanaishi vipi?Watu ambao hawamuamini MUNGU, hawafai kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia mpaka ya kitaifa na kimataifa.. sio wa kuwaamini kabisa.
Ukiwa na imani ya MUNGU.. Moja kwa moja inakujengea hofu ya kufanya mambo maovu. Hivo unajichunga wewe kama wewe kuhakikisha huwakosei binadamu wenzako. Na hapo utu ndo unapojengeka
Imani ipo ndani ya nguvu.Imani na nnguvu ni vitu viwili tofauti.
Labda mjuvi nidadavulie
1)Imani ni nini?
2)Nguvu ni nini?
Bullshit. Watu wanaomuamini Mungu ndio watenda maovu kuliko wasiomuamini Mungu.Watu ambao hawamuamini MUNGU, hawafai kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia mpaka ya kitaifa na kimataifa.. sio wa kuwaamini kabisa.
Ukiwa na imani ya MUNGU.. Moja kwa moja inakujengea hofu ya kufanya mambo maovu. Hivo unajichunga wewe kama wewe kuhakikisha huwakosei binadamu wenzako. Na hapo utu ndo unapojengeka
Huyo God ana tofauti gani na hao Gods?Mbona hata wazungu wanaamini uwepo wa Mungu na dini ndio imeshape maisha na maendeleo Yao.
Soma historia ya wazungu utayakuta haya.
Halafu nani kakuambia Mwafrika anaijua dini wengi wanashika dini na Sio wanaijua dini.
Unaposema dini una maanisha positivity.
Halafu tambua Kuna God na Gods ni nguvu mbili tofaut.
Mungu ni mmoja na miungu ipo zaidi ya hio elf 3.
Mwafrika angeijua dini asingekuwa masikini.
Tupe ushahidiBullshit. Watu wanaomuamini Mungu ndio watenda maovu kuliko wasiomuamini Mungu.