Kutaka kuzuia mafuriko ya Tsunami kwa udongo ni kushindana na kisichowezekana, kamati ya muungano iunganushe na hoja za Lissu

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
2,095
4,417
Nyakati huja na nyakati hupita

Na nyakati ambazo huja na kupita, zingine huja kwa namna yake na changamoto zake, na zinapokuja, huja ili zibadilishe kitu na ama kuharibu kabisa,

Kikawaida, Ni mjinga tu ambaye hudhani Dunia haina Changamoto na kwamba anaweza kukaa maisha yake yote bila kupitia dholuba, Changamoto huwa zipo kuanzia kwenye familia zetu, taasisi mbali mbali mpaka za dini na vyama mbalimbali za kiraia na kisiasa, sembuse suala la Muungano lililokaa kisheria? Na nijuavyo, Sheria ambazo watu huzitunga, hufikia hatua zinapitwa wakati na hivyo huhitajika kurekebishwa ili zifiti kwa wakati uliopo

Na ndiyo maana hata Katiba hufanyiwa marekebisho na ama kuandikwa upya ili iendane na wakati au mahitaji ya wakati huo n.k

Linapokuja suala la kwa nini Muungano unawafeva watu fulani na kuwakandamiza watu fulani, na kelele hizo zikaendelea sana, iko haja kwa mamlaka kuanza kuchukua hatua kwa kufanyia kazi mahitajio hayo ili mambo yaende sawa,

Maswali ya kikatiba kuuhusu muungano yaliyoibuliwa na mwanasheria wa kimataifa Tundu Lissu, wanaojaribu kujibu, hakuna hata mmoja aliyesema si ya kweli,

Ukiwasikiliza wate wanaojaribu kujibu, utakuta wameyaacha maswali hayo kwa maksudi kabisa na kisha kuwamwagia sifa viongozi waliotoka/wanaotoka upande wa pili, eti wanafanya na wamefanya mambo mazuri tu Tanganyika

Wanashindwa kuelewa kinachoulizwa siyo ubora wa utendaji kazi wa viongozi hao isipokuwa ni ubovu wa sheria zinazolinda muungano wetu kama alivyobainisha mh.Tundu Lissu

Kwa namna vijana wa CCM wanavyojitutumua kujaribu kupotezea hoja hiyo, ni sawa na kujaribu kuzuia mafuriko ya Tsunami kwa udongo wakijua fika hawataweza

Muda umefika kwa kamati maalumu inayoshughurikia masuala ya muungano wetu, wakazichukua hoja hizi pia ili zipatiwe mwafaka na kisha tusonge mbele kwa umoja wetu

Tulikotoka na mahali tulipo kama Nchi, bado Mungu wetu amekuwa mwema sana, ila kwa sasa kuna alarm inagonga, basi tusisubiri muda ukaenda sana badala ya kujenga ukuta tukajikuta tunalazimika kujenga nyumba upya
 
Nyakati huja na nyakati hupita

Na nyakati ambazo huja na kupita, zingine huja kwa namna yake na changamoto zake, na zinapokuja, huja ili zibadilishe kitu na ama kuharibu kabisa,

Kikawaida, Ni mjinga tu ambaye hudhani Dunia haina Changamoto na kwamba anaweza kukaa maisha yake yote bila kupitia dholuba, Changamoto huwa zipo kuanzia kwenye familia zetu, taasisi mbali mbali mpaka za dini na vyama mbalimbali za kiraia na kisiasa, sembuse suala la Muungano lililokaa kisheria? Na nijuavyo, Sheria ambazo watu huzitunga, hufikia hatua zinapitwa wakati na hivyo huhitajika kurekebishwa ili zifiti kwa wakati uliopo

Na ndiyo maana hata Katiba hufanyiwa marekebisho na ama kuandikwa upya ili iendane na wakati au mahitaji ya wakati huo n.k

Linapokuja suala la kwa nini Muungano unawafeva watu fulani na kuwakandamiza watu fulani, na kelele hizo zikaendelea sana, iko haja kwa mamlaka kuanza kuchukua hatua kwa kufanyia kazi mahitajio hayo ili mambo yaende sawa,

Maswali ya kikatiba kuuhusu muungano yaliyoibuliwa na mwanasheria wa kimataifa Tundu Lissu, hata mmoja hayupo anayesema si ya kweli,

Ukuwasikiliza wate wanaojaribu kujibu, utakuta wameyaacha kwa maksudi kwa kuwamwagia sifa viongozi waliotoka/wanaotoka upande wa pili, eti wanafanya na wamefanya mambo mazuri tu Tanganyika

Wanashindwa kuelewa kinachoulizwa siyo ubora wa utendaji kazi wa viongozi isipokuwa ni ubovu wa sheria zinazolinda muungano wetu kama alivyobainisha mh.Tundu Lissu

Kwa namna vijana wa CCM wanavyojitutumua kujaribu kupotezea hoja hiyo, ni sawa na kujaribu kuzuia mafuriko ya Tsunami kwa udongo wakijua fika hawataweza

Muda umegika kwa kamati maalumu inayoshughurikia masuala ya muungano wetu, wakazichukua hoja hizi ili zipatiwe mwafaka na kisha tusonge mbele kwa umoja wetu

Tulikotoka na mahali tulipo kama Nchi, bado Mungu wetu amekuwa mwema sana, ila kwa sasa kuna alarm inagonga, basi tusisubiri muda ukaenda sana badala ya kujenga ukuta tukajikuta tunalazimika kujenga nyumba upya
kongole sana mkuu , humu wapo wana ccmu wakitoka Lumumba wameambiwa yeyote mkosoaji ana fikra za kikoloni , ni puppet wa magharibi , mara ni mbaguz

CCMU NI KANSA KWA TAIFA , WANACHOJIBU NA SWALI HUSIKA NI MBINGU NA ARDHI , TOTALLY OFF-TOPIC
 
Nyakati huja na nyakati hupita

Na nyakati ambazo huja na kupita, zingine huja kwa namna yake na changamoto zake, na zinapokuja, huja ili zibadilishe kitu na ama kuharibu kabisa,

Kikawaida, Ni mjinga tu ambaye hudhani Dunia haina Changamoto na kwamba anaweza kukaa maisha yake yote bila kupitia dholuba, Changamoto huwa zipo kuanzia kwenye familia zetu, taasisi mbali mbali mpaka za dini na vyama mbalimbali za kiraia na kisiasa, sembuse suala la Muungano lililokaa kisheria? Na nijuavyo, Sheria ambazo watu huzitunga, hufikia hatua zinapitwa wakati na hivyo huhitajika kurekebishwa ili zifiti kwa wakati uliopo

Na ndiyo maana hata Katiba hufanyiwa marekebisho na ama kuandikwa upya ili iendane na wakati au mahitaji ya wakati huo n.k

Linapokuja suala la kwa nini Muungano unawafeva watu fulani na kuwakandamiza watu fulani, na kelele hizo zikaendelea sana, iko haja kwa mamlaka kuanza kuchukua hatua kwa kufanyia kazi mahitajio hayo ili mambo yaende sawa,

Maswali ya kikatiba kuuhusu muungano yaliyoibuliwa na mwanasheria wa kimataifa Tundu Lissu, hata mmoja hayupo anayesema si ya kweli,

Ukuwasikiliza wate wanaojaribu kujibu, utakuta wameyaacha kwa maksudi kwa kuwamwagia sifa viongozi waliotoka/wanaotoka upande wa pili, eti wanafanya na wamefanya mambo mazuri tu Tanganyika

Wanashindwa kuelewa kinachoulizwa siyo ubora wa utendaji kazi wa viongozi isipokuwa ni ubovu wa sheria zinazolinda muungano wetu kama alivyobainisha mh.Tundu Lissu

Kwa namna vijana wa CCM wanavyojitutumua kujaribu kupotezea hoja hiyo, ni sawa na kujaribu kuzuia mafuriko ya Tsunami kwa udongo wakijua fika hawataweza

Muda umegika kwa kamati maalumu inayoshughurikia masuala ya muungano wetu, wakazichukua hoja hizi ili zipatiwe mwafaka na kisha tusonge mbele kwa umoja wetu

Tulikotoka na mahali tulipo kama Nchi, bado Mungu wetu amekuwa mwema sana, ila kwa sasa kuna alarm inagonga, basi tusisubiri muda ukaenda sana badala ya kujenga ukuta tukajikuta tunalazimika kujenga nyumba upya
fuatilia bajeti ya wozara mahususi inayo deal na masuala ya muungano bila mihemko wala ghadhabu ili hatimae uchote maarifa zaidi, uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya jambo hili :BillyApprove:

kumbuka,
fuatilia kwa utulivu na bila mihemko itasaidia sana:BillyApprove:
 
fuatilia bajeti ya wozara mahususi inayo deal na masuala ya muungano bila mihemko wala ghadhabu ili hatimae uchote maarifa zaidi, uelewa na ufahamu wa kutosha juu ya jambo hili :BillyApprove:

kumbuka,
fuatilia kwa utulivu na bila mihemko itasaidia sana:BillyApprove:
Kufuatilia bajeti ya muungano na wao kuchukua hoja zilizoibulia ni mambo mawili tofauti mkuu
 
Nyakati huja na nyakati hupita

Na nyakati ambazo huja na kupita, zingine huja kwa namna yake na changamoto zake, na zinapokuja, huja ili zibadilishe kitu na ama kuharibu kabisa,

Kikawaida, Ni mjinga tu ambaye hudhani Dunia haina Changamoto na kwamba anaweza kukaa maisha yake yote bila kupitia dholuba, Changamoto huwa zipo kuanzia kwenye familia zetu, taasisi mbali mbali mpaka za dini na vyama mbalimbali za kiraia na kisiasa, sembuse suala la Muungano lililokaa kisheria? Na nijuavyo, Sheria ambazo watu huzitunga, hufikia hatua zinapitwa wakati na hivyo huhitajika kurekebishwa ili zifiti kwa wakati uliopo

Na ndiyo maana hata Katiba hufanyiwa marekebisho na ama kuandikwa upya ili iendane na wakati au mahitaji ya wakati huo n.k

Linapokuja suala la kwa nini Muungano unawafeva watu fulani na kuwakandamiza watu fulani, na kelele hizo zikaendelea sana, iko haja kwa mamlaka kuanza kuchukua hatua kwa kufanyia kazi mahitajio hayo ili mambo yaende sawa,

Maswali ya kikatiba kuuhusu muungano yaliyoibuliwa na mwanasheria wa kimataifa Tundu Lissu, wanaojaribu kujibu, hakuna hata mmoja aliyesema si ya kweli,

Ukiwasikiliza wate wanaojaribu kujibu, utakuta wameyaacha maswali hayo kwa maksudi kabisa na kisha kuwamwagia sifa viongozi waliotoka/wanaotoka upande wa pili, eti wanafanya na wamefanya mambo mazuri tu Tanganyika

Wanashindwa kuelewa kinachoulizwa siyo ubora wa utendaji kazi wa viongozi hao isipokuwa ni ubovu wa sheria zinazolinda muungano wetu kama alivyobainisha mh.Tundu Lissu

Kwa namna vijana wa CCM wanavyojitutumua kujaribu kupotezea hoja hiyo, ni sawa na kujaribu kuzuia mafuriko ya Tsunami kwa udongo wakijua fika hawataweza

Muda umefika kwa kamati maalumu inayoshughurikia masuala ya muungano wetu, wakazichukua hoja hizi pia ili zipatiwe mwafaka na kisha tusonge mbele kwa umoja wetu

Tulikotoka na mahali tulipo kama Nchi, bado Mungu wetu amekuwa mwema sana, ila kwa sasa kuna alarm inagonga, basi tusisubiri muda ukaenda sana badala ya kujenga ukuta tukajikuta tunalazimika kujenga nyumba upya
Ndio ile kuzuia mafuriko kwa mikono.
 
Kufuatilia bajeti ya muungano na wao kuchukua hoja zilizoibulia ni mambo mawili tofauti mkuu
nasitiza bajeti ya wizara mahususi ya muungano, ifuatiliwe kwa utilivu na umakini zaidi bila mihemko wala majibu binafsi, mfukoni, itasaidia sana kuongeza uelewa na ufahamu zaid wa jambo hili. ukizira, ukisusa au ukigoma kufuatilia ni uhuru na uamuzi wako itakusaidia pia kufanya mambo mengine yasonge :BillyApprove:
 
nasitiza bajeti ya wizara mahususi ya muungano, ifuatiliwe kwa utilivu na umakini zaidi bila mihemko wala majibu binafsi, mfukoni, itasaidia sana kuongeza uelewa na ufahamu zaid wa jambo hili. ukizira, ukisusa au ukigoma kufuatilia ni uhuru na uamuzi wako itakusaidia pia kufanya mambo mengine yasonge :BillyApprove:
Nimepata majibu, mishangao na maswali mengi sana baada ya kuendelea kusisitiza jambo hili

Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom