Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 770
- 1,898
Kuna watu ustaarabu sifuri mtu kakukuta unakula mgahawani akaja kukaa kwenye meza yako ukaona utumie ustaarabu kumwambia na yeye aagize chakula maana sio vizuri kula huko mtu anakutazama usoni , unashangaa anaagiza vitu vizito vizito ! Tena zaidi hata unavyokula , halafu anamwambia muhudumu ongeza 😀 , ama kweli kuna watu mishipa ya aibu hawana