Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

Teko Modise

JF-Expert Member
May 20, 2017
1,951
6,092
Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.

Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.

Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
 
IMG_1119.jpeg
 
Back
Top Bottom