Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,939
- 46,690
Kuna baadhi ya watu wanapikia nazi kila chakula, yani chakula hawawezi kupika au kula bila kuweka nazi.
Unaweza kukua katika mlo mmoja amepika wala wa nazi, nyama ina nazi, maharage ya nazi na mboza za majani za nazi. Akipika mihogo anaweka nazi, ndizi nazi, makanda nazi n.k.
Huwa nasikia watu hasa wa pwani wanavyosifia chakula cha nazi mpaka wanatokwa udenda nabaki kuduwaa kwa sababu sijawahi kuiona ikiwa kiungo cha maana sana cha chakula.
Unaweza kukua katika mlo mmoja amepika wala wa nazi, nyama ina nazi, maharage ya nazi na mboza za majani za nazi. Akipika mihogo anaweka nazi, ndizi nazi, makanda nazi n.k.
Huwa nasikia watu hasa wa pwani wanavyosifia chakula cha nazi mpaka wanatokwa udenda nabaki kuduwaa kwa sababu sijawahi kuiona ikiwa kiungo cha maana sana cha chakula.