Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,121
- 4,018
Nazi ni tamu ila Kuna wataalamu wanasema inapelekea magonjwa ya moyo na presha, pengine kwa sababu ya kuwa na mafuta mengi. Wenye utaalamu watufafanulie zaidi tafadhali.
Umefanya njaa ianze kuniuma asubuhi yote hii 😋Hatari sana hapo kwenye majani ya kunde alafu ukute samaki kaungwa Nazi achilia maharage yaungwe Nazi alafu yalale😀😀