Kuna shida gani? Vijana wengi wanaohitimu wa kozi ya IT hawawezi kutengeneza website

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
2,234
4,762
Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu

Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
 
Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu

Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
1. Background ya vyuo vikuu walivyosomea IT ni vipi?

2. Maokoto yanaendana na kazi uwapayo?

NB: Chuo cha DIT nakiamini kwa ubora 90%.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu

Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
Sasa mkuu dunia kijiji hii kwan lazima ufabye na walioko mkoan?

Usemacho ni sahihi, kuna bint mmoja week 2 zimepita amehitim computer science chuo kikuu, katika kuomba shughul za kufanya nikamuuliza unaweza kufanya nini kulingana na ulichosomea, honestly, nilisikitika sana moyoni nikaumia nikajisikia huruma mnoo, hawa watoto wetu wanatendwa nin na mfumo wetu wa elimu? Au ni wao tu ndio hawazingatii mambo?
Kiukwel roho iliniuma sana.
Screenshot_20240429_074403_Messages.jpg
 
Sasa mkuu dunia kijiji hii kwan lazima ufabye na walioko mkoan?

Usemacho ni sahihi, kuna bint mmoja week 2 zimepita amehitim computer science chuo kikuu, katika kuomba shughul za kufanya nikamuuliza unaweza kufanya nini kulingana na ulichosomea, honestly, nilisikitika sana moyoni nikaumia nikajisikia huruma mnoo, hawa watoto wetu wanatendwa nin na mfumo wetu wa elimu? Au ni wao tu ndio hawazingatii mambo?
Kiukwel roho iliniuma sana.
View attachment 2976413
Degree za chupi izo
 
Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu

Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
Hii ndio elimu yetu mkuu
 
Hii ni mindset ya kiazaman sana mkuu wangu, habar za chuo gan sijui nini no more now.
nikiwa 3rd year ifm 2013 nimefanya sana final year projects za wanafunz wa DiT na Mlimani za wanafunzi wa computer science na IT
Unanibishia nini ilihali mi mwenyewe nimeshuhudia nilichoeleza? Amini unavyoamini nami niamini niaminivyo "tusipangiane mitazamo".

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Wee unaenda mbali wenye kusoma IT hawezi kutengeneza website??.....ma MD apo muhimbili wanamaliza wanaobahatika kufanya kazi kufanya Cesarean Section hawajui (C/S) stitching ndogondogo hawajui.

Kama mtu uliingia fani yoyote kwa kulazimishwa yani huwezi fanya kwa passion just ikitokea umepata kazi.
 
Sasa mkuu dunia kijiji hii kwan lazima ufabye na walioko mkoan?
Website inahitaji maboresho kila baada ya muda nimekuwa nawatumis Hawa developer wa mtandaoni sasa kwa kazi niliyokuwa nayo nikasema ngoja niwatafute vijana wa mkoani kwangu wengine wakati wapo shule walikuwa wananiambia braza Mimi nipo chuo nasomea IT

Wakati wamehitimu sikuwa na shaka kabisa na elimu zao ndio mana hii kazi nilitaka kuwapa wanifanyie nipate utofauti na developer wengine lakini sasa nimekuja gundua hawajui Chochote
 
Mimi naishi mkoani ni changamoto sana kupata developer sasa nilikuwa na kazi yangu nataka developer aifanye nimekutana na madogo kama watano hapa wamesomea kozi hiyo ya IT Kuna kazi nilikuwa nataka niwape wafanye lakini naona wameshindwa walikimbia kuifanya Kazi yangu

Ahadi nyingi nitafanya nitafanya mwisho mtu hapokei simu
Kuna uwezekano dau lako dogo...
 
Mkuu,Kuna katatizo fulani kwenye Mfumo wa elimu Ila tatizo si o chuo walichosoma tu ila pia aina ya mwanafunzi na aina ya mwalimu.Ni kweli kwa Mhitimu wa IT,Computer Science na Hata Computer Engineering Kutengeneza website kunapaswa kuwa kazi ndogo kwake kwani kwa sasa anaweza kujifunza tu mwenyewe bila hata kufundishwa Darasani.

Hata hivyo naamini hao vijana ambao umekutana nao wanaweza kuwa na issues zao binafsi maana katika hali ya kawaida kitendo cha ww kuwapa ofa wangeingia field wajifunze na hata kutafuta wenzao washirikiane.Ila wamesusia kazi kabisa.Hii ina maana wao wenyewe wana shida zao binafsi.
 
Ni zaidi ya hapo, writing code ni art. Kutegeneza app au website ni zaidi ya kuandika code.

Mtu unampa project leo, kesho yake anakuambia anaanza ku code baada ya siku mbili lazima project imshinde. development inaanza na designing, PL selection, dbdiagram etc


Chuo wanafundiswa basic tu juu juu wanafunzi wengi hawawezi kufanya complex project, sio project tu hata ku scale app wengi hawawezi unaweza ukampa graduate kazi ya ku scale website i-handle request 100K per second hawezi au optimize database yenye data 10M mtu hawezi
 
Back
Top Bottom