Milles Montego
Member
- May 31, 2021
- 95
- 279
Habari wa jf
Kuna mtu yoyote mwenye idea au kufahamu kuhusu biashara ya mifupa ya samaki, ngozi na mabaki mengine, maana kuna mahali naweza kupata zaidi ya tani 5 kwa siku.
Naomba mwenye uzoefu au kujua soko au fursa na kitu cha kufanya kupitia mabaki ya samaki.
Kuna mtu yoyote mwenye idea au kufahamu kuhusu biashara ya mifupa ya samaki, ngozi na mabaki mengine, maana kuna mahali naweza kupata zaidi ya tani 5 kwa siku.
Naomba mwenye uzoefu au kujua soko au fursa na kitu cha kufanya kupitia mabaki ya samaki.