Anachotaka ni ndoa sio kubembelezwa pia nilimbembeleza mpaka kwenye mwaka wa tatu akachoka ..ukashindwa kabisa kumbembeleza
Ibilisi ni wewe.......Nilisoma nae o level, nilianza kukamua tuko form two mwishoni, tulivyomaliza wote tulifeli ila yeye alifeli sana kwa kupata ziro mimi kombi tu haikubalance, kwakuwa kwao wanauwezo wakampeleka wakamwendeleza mimi sikuendelea ila nilibahatika kupata kazi nikatusua fasta baadae mapenzi yakazidi kwa kuwa nilikuwa na hela nikamuoa tukapata mtoto mmoja, miaka miwili baadae nikafukuzwa kazi kwa sababu nazozijua mimi, visa vikaanzia hapo wazazi wake hasa mama yake akaanza kuzingua, nikawa mpole coz tulikiwa na mtoto mdogo baadae nikatafuta kazi nje kabisa ya ule mkoa ndo ukawa mwanzo na mwisho wetu, nilimuachia kila kitu ila nikampola tu mwanangu mpaka sasa niko nae maisha yanaendelea, sitamsahau ibilisi yule.
Kuwanga wanga (a.k.a uchawi).
Mpenzi wangu alishindwa kuvumilia kabisa alipobaini hilo.
Dahh!!, sitasahau, iliniuma sana,lakini sikuwa na jinsi kwani ndio nilikuwa nimetoka kukabidhiwa mikoba na bibi.
Sio kweliAlikua nesi hivyo kazi ikamfanya alale na kila mtumishi wa afya,hakika aliniaminisha kua watumishi wengi wa kada ya afya wanafanyana sana,tena ofisini.
duuuuuuhkumjibu msg yake kwamba siwez mpa pesa ya kutolea mimba azae tutalea.
akaniambia haba uhakika kama mimba ni yangu, ni bora tuitoe tutafute ya uhakika.
HamkupendanaLong distance. Mapenzi kwa njia ya posta, e-mail, skype na simu yakawa magumu, basi ndiyo hivyo tena.
AliolewaInaweza tokea ukampenda mtu sana na ukaapa hata iweje hamtakuja kuachana lakini mkaja mkaachana. Mimi kwangu sababu ilikua ni dini.
Wewe sababu yako ilikua nini?
Hahahaaa. Pole sana ndugu yangu.Bla bla kibao, hakuwa na jema hata moja. Mengi aliyoongea ilikuwa uongo mtupu.
Hlf usikute ndio wewe umeamua kuja na id mpya. Km ndio wewe kaa ukijua dawa yako bado naiandaa ili ujue sio kila mtu ni wa kudanganya.
Hahahah yaan we acha tu,Hahahaaa. Pole sana ndugu yangu.
Mzima lakini?
Ila umeadimika. Aliyekuficha mwambie Mungu anamuona sababu hata huonekani.Hahahah yaan we acha tu,
Mzima sana tu.
Hahahaj Emmy nipo tu mpenzi sema nini January hii lazima uwe na akili ya ziada ili mipango iende maana vyuma vimekaza haswaaa.Ila umeadimika. Aliyekuficha mwambie Mungu anamuona sababu hata huonekani.
Uwe na mchana mwema ndugu. Nilikukumbuka tu.
Hahaaa. Wacha kabisa my dear huu mwezi ni balaa ila nina imani tutaumaliza salama na kuanzia february mambo pia yatakaa sawa.Hahahaj Emmy nipo tu mpenzi sema nini January hii lazima uwe na akili ya ziada ili mipango iende maana vyuma vimekaza haswaaa.
Nakumis pia, uwe na mchana mwema.
Mbona nimekuita kule hujafika?Sikumnunulia Samsung Note 6 kama zawadi akazingua, nikamzingua mazima
Sijapata notification ndugu, ila nimejitahidi kusoma Hadi shahidi wa sitaMbona nimekuita kule hujafika?