Kuna habari nimezisikia kuhusu Dr Ulimboka kwenye sakata lake zinasikitisha.
kuna haja ya kuanzishwa jukwaa la kutukanana ili thread kama hizi ziwe zinapelekwa huko...Mods kale kaombi kangu ka kuruhusu lugha chafu kwa dk 5 vipi bado mnakatafakari?
Kuna habari nimezisikia kuhusu Dr Ulimboka kwenye sakata lake zinasikitisha.
....niko kwenye kifo cha horace kolimba....taarifa ya uchunguzi wa kitaalam iliyofanywa na wataalam, waliochaguliwa na familia ya marehemu haikusema lolote juu ya sumu...!Kumwagiwa Tindikali kwa Saed Kubenea
Kifo cha Horace Kolimba - inasemekana ni kwa njia ya sumu.
Kifo cha marehemu Prof. Juan Mwaikusa
Kuchinjwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA arumeru siku kadhaa baada ya uchaguzi
Kifo cha marehemu Imran Kombe
Kuvamiwa na Kupigwa kwa mpendazoe kipindi yupo na chama cha CCJ.
Jaribio la kutaka kumuua mbunge wa Ilemela Ndg. Highness Kiwia.
Kupotea kwa Shabiki wa Chadema kule igunga siku chache baada ya uchaguzi.
Kuuawa kwa wazanzibar kabla ya muafaka wa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.
Haya yote ni baadhi ya mambo ambayo yanamtizamo hasi kwa umma dhidi ya serikali ya chama cha mapinduzi, wahanga wote wa haya matukio wana kitu kimoja common - kupigania mabadiliko kwa uwazi pamoja na kuikosoa serikali kwa baadhi ya mambo mbalimbali ambayo hawakuridhishwa nayo.
Hili na ulimboka na lenyewe lina tafsiri nyingi sana.
Katika pitapita zangu, nimedokezwa kuwa mfululizo huu wa migomo na maandamano ni kufanikisha mpango wa ki haini wa kutaka kuiangusha serikali iliyoko madarakani. Tulianza kushuhudia maandamano na kuambiwa kama nchi haitatawalika, nadhani ilitakiwa iwe kama yale ya arab spring. Lakini Mungu bariki mbinu hii ikabuma.
Ikaja mgomo wa wafanyakazi, nao ukabuma. Ukaja mgomo wa madaktari kupitia interns...huu ulisumbua kiasi mpaka ukang'oa vigogo kule wizarani lakini ukapita. Sasa mgomo huu mwingine kwa kisingizio kile kile cha hali bora za madaktari. Cha kushangaza wanaoshabikia zaidi migomo yote hii ni wale walioanzisha maandamano.
Nashawishika kuamini jamaa yangu aliyenin'gata sikio kuwa mpango huu unalenga kutaka kuifanya nchi isitawalike, nimedokezwa kuwa waalimu nao wameshawishiwa kugoma.
Sasa kama nadharia hii ni kweli, basi masikini dr. Uli jamaa zako wenyewe ndio wamekutia jiti. Na jamii iaminishwe kama ni jeshi la polisi and so serilkali ili umma woote uanze kuichukia serikali na kuiangusha. Dr. Uli adui yuko chumbani kwako, usimtafute mchawi.
I was just thinking very loud, sitaki nkuamini hata kidogo kam serikali kupitia jeshi la polisi could be dare to do this.
Kuna silku ukweli utadhihiri.
K.
Dr Ulimboka amevuna alichopanda.
Polee
ritz mwaga habari
Vichipkizi VGA TISS Bwana...Viko kizamaaaani? Utafikiri vimezaliwa Aldeia Msumbiji?Katika pitapita zangu, nimedokezwa kuwa mfululizo huu wa migomo na maandamano ni kufanikisha mpango wa ki haini wa kutaka kuiangusha serikali iliyoko madarakani. Tulianza kushuhudia maandamano na kuambiwa kama nchi haitatawalika, nadhani ilitakiwa iwe kama yale ya arab spring. Lakini Mungu bariki mbinu hii ikabuma.
Ikaja mgomo wa wafanyakazi, nao ukabuma. Ukaja mgomo wa madaktari kupitia interns...huu ulisumbua kiasi mpaka ukang'oa vigogo kule wizarani lakini ukapita. Sasa mgomo huu mwingine kwa kisingizio kile kile cha hali bora za madaktari. Cha kushangaza wanaoshabikia zaidi migomo yote hii ni wale walioanzisha maandamano.
Nashawishika kuamini jamaa yangu aliyenin'gata sikio kuwa mpango huu unalenga kutaka kuifanya nchi isitawalike, nimedokezwa kuwa waalimu nao wameshawishiwa kugoma.
Sasa kama nadharia hii ni kweli, basi masikini dr. Uli jamaa zako wenyewe ndio wamekutia jiti. Na jamii iaminishwe kama ni jeshi la polisi and so serilkali ili umma woote uanze kuichukia serikali na kuiangusha. Dr. Uli adui yuko chumbani kwako, usimtafute mchawi.
I was just thinking very loud, sitaki nkuamini hata kidogo kam serikali kupitia jeshi la polisi could be dare to do this.
Kuna silku ukweli utadhihiri.
K.
Ritz? Subirini pumba
Ww v...na huyo aliyepigwa pale muhimbili na kujitambulisha km mkuu wa police pale salender baada ya kugundulika kuwa alikuwa anaongea na cm siniliwaambia tumchome sindano ya sumu ili afe' ni nani,c o serikali?...au hujui kinachoendelea ww!km hujui uliza uckurupuke
Kumwagiwa Tindikali kwa Saed Kubenea
Kifo cha Horace Kolimba - inasemekana ni kwa njia ya sumu.
Kifo cha marehemu Prof. Juan Mwaikusa
Kuchinjwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA arumeru siku kadhaa baada ya uchaguzi
Kifo cha marehemu Imran Kombe
Kuvamiwa na Kupigwa kwa mpendazoe kipindi yupo na chama cha CCJ.
Jaribio la kutaka kumuua mbunge wa Ilemela Ndg. Highness Kiwia.
Kupotea kwa Shabiki wa Chadema kule igunga siku chache baada ya uchaguzi.
Kuuawa kwa wazanzibar kabla ya muafaka wa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.
Haya yote ni baadhi ya mambo ambayo yanamtizamo hasi kwa umma dhidi ya serikali ya chama cha mapinduzi, wahanga wote wa haya matukio wana kitu kimoja common - kupigania mabadiliko kwa uwazi pamoja na kuikosoa serikali kwa baadhi ya mambo mbalimbali ambayo hawakuridhishwa nayo.
Hili na ulimboka na lenyewe lina tafsiri nyingi sana.
acha uzembe wa kufikiri weweeeeLoading.......
NOT TRUE!!
Loading.......
NOT TRUE!!
Katika pitapita zangu, nimedokezwa kuwa mfululizo huu wa migomo na maandamano ni kufanikisha mpango wa ki haini wa kutaka kuiangusha serikali iliyoko madarakani. Tulianza kushuhudia maandamano na kuambiwa kama nchi haitatawalika, nadhani ilitakiwa iwe kama yale ya arab spring. Lakini Mungu bariki mbinu hii ikabuma.
Ikaja mgomo wa wafanyakazi, nao ukabuma. Ukaja mgomo wa madaktari kupitia interns...huu ulisumbua kiasi mpaka ukang'oa vigogo kule wizarani lakini ukapita. Sasa mgomo huu mwingine kwa kisingizio kile kile cha hali bora za madaktari. Cha kushangaza wanaoshabikia zaidi migomo yote hii ni wale walioanzisha maandamano.
Nashawishika kuamini jamaa yangu aliyenin'gata sikio kuwa mpango huu unalenga kutaka kuifanya nchi isitawalike, nimedokezwa kuwa waalimu nao wameshawishiwa kugoma.
Sasa kama nadharia hii ni kweli, basi masikini dr. Uli jamaa zako wenyewe ndio wamekutia jiti. Na jamii iaminishwe kama ni jeshi la polisi and so serilkali ili umma woote uanze kuichukia serikali na kuiangusha. Dr. Uli adui yuko chumbani kwako, usimtafute mchawi.
I was just thinking very loud, sitaki nkuamini hata kidogo kam serikali kupitia jeshi la polisi could be dare to do this.
Kuna silku ukweli utadhihiri.
K.