macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 22,352
- 40,967
Walichokosoa ni design ya jengo! BTW kuna faida gani ya kuhamia Dodoma ukilinganisha na gharama zote tunazoingia nchi maskini kama yetu? Hebu nielimisha kwa kuni-orodheshea faida za kuhamia Dodoma.Kuna uzi uletwa humu ukiwa na picha la jengo wakisema ile ndio ikulu, watu wakamtukana sana Magu sasa leo wanaumbuka tena.
Kiukweli chadema ni fungu la kukosa