Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,751
- 9,024
Kipindi cha ukoloni kenya ndio ilifanya ujerumani ikaondoka sababu mwingereza alitaka kwa nguvu nchi hii na akafanikiwa.
kipindi cha kutafuta uhuru nchi nyengine mfano south afrika ,kenya iliusika sana na makaburu ili tuweze kushindwa kuwasaidia wapiga uhuru huko.
Umoja wa afrika mashariki ulivunjwa na kenya ili kuizorotesha tanzania baada ya kuona kila jambo linaweza kuwa tanzania.
Kenya imekuwa ikutumia mbinu kubwa mfano utalii,biashara n.k kwa mgongo wa tanzania.
Naeleza ili sababu kuna mambo mengi kama ukisafiri jinsi wakenya wanavotembelea code zetu kuipa nchi yao nguvu kwa mgongo watanzania.
Usije shangaa kusikia Diamond anajulika ni mkenya
kipindi cha kutafuta uhuru nchi nyengine mfano south afrika ,kenya iliusika sana na makaburu ili tuweze kushindwa kuwasaidia wapiga uhuru huko.
Umoja wa afrika mashariki ulivunjwa na kenya ili kuizorotesha tanzania baada ya kuona kila jambo linaweza kuwa tanzania.
Kenya imekuwa ikutumia mbinu kubwa mfano utalii,biashara n.k kwa mgongo wa tanzania.
Naeleza ili sababu kuna mambo mengi kama ukisafiri jinsi wakenya wanavotembelea code zetu kuipa nchi yao nguvu kwa mgongo watanzania.
Usije shangaa kusikia Diamond anajulika ni mkenya