Kazi ya binadamu duniani imeshaisha takriban miaka 445,000 iliyopita

Sawa,...

Na Je, apart from writings, kuna ushahidi wowote wa kuonekana(mfano mabaki ya miili ya hao ANUNAKI &Co's).

Lengo la kuuliza maswali haya ni kujua endapo hizo story ni valid 100%....?
Mabaki ni hizo tablets /manuscripts ambazo zimegunduliwa , ANUNAKI walikuwa wanazikwa kwao NIBIRU sio duniani, wengine walizikwa Sayari ya Mars
 
mu
ukutaka kujua hilo historia halisisimui linazungumzia mambo yaleyale yakibinadamu!,ndoa,vita,utumwa na uzazi!!.
kwa mimi binafsi nikianza kuzungumzia mambo ya kimungu siwezi kugusia vitu vidogo vidogo kama hivyo!,maana tafsiri ya Umungu ni sambamba na vitu ama sheria kubwakubwa!..
hakuna cha tofauti hapo hizo ni kama zilezile hekaya za vitabu vya dini!..

Mi sidhani kama hata Mungu (kama yupo) analugha rahisi hivyo!,halafu kwa upeo wake kujihusisha sana na matendo ya binadamu ni kumshusha sana!,mara atatuhukumu kwa dhambi zetu!..😂
itakuwa amekosa kazi za kufanya ye alipoumba akabalansi akamaliza so ameshaweka vitu kwa uwiano anajua hata mdhambike vipi hamtamuharibia mambo aliyoyaweka! by the way alietengeneza kitu ndie anaekihitaji sasa nashangaa binadamu sijui kwanini mnamuhutaji huyo Mungu! mpaka hapo tunaonyesha tumeshafeli kwenye kumjua tu huyo Mungu!
asa anajificha labda hataki tumjue.🤔🤷
 
Cha kuongezea dhahabu ina umuhimu sana katika anga za hawo viumbe, kama Ozone ilivyo kwetu nao wanahitaji gold kuwalinda kutoka mionzi mikali. Majuwa yao yanatoa X ray, na gamma ray ndio maana wakatutengeneza roboti la biologia, sisi ili tuchimbe dhahabu na tuhifadhi kwenye safe [gold reserve Ya marekani, gold reserve Ya urussi, hata bot ameanza kununua reserve Ya dhahabu]

Siku wakija kuchukua dhahabu zao mataifa ambayo watatoa gawio dogo wataona cha mtema kuni.
Mimi nachojua dhahabu ya dunia waliyohitaji kuziba nyufa Huko nibiru walipokuja duniani walichukua asilimia zaidi ya 95 kwa hiyo iliyopo na wanadamu huwa walishamaliza kazi Yao na walifunga vilago vyao vyote na hawatakaa warudi milele
Bot kununua dhahabu ni Jambo liko dunia nzima ni economic back up.zaman walikuwa wananunua dollar saivi dollar inazingia dunia nzima wananunua dhahabu .90% ya Marais hawajawah sikia neno ananuki
 
Mimi nachojua dhahabu ya dunia waliyohitaji kuziba nyufa Huko nibiru walipokuja duniani walichukua asilimia zaidi ya 95 kwa hiyo iliyopo na wanadamu huwa walishamaliza kazi Yao na walifunga vilago vyao vyote na hawatakaa warudi milele
Bot kununua dhahabu ni Jambo liko dunia nzima ni economic back up.zaman walikuwa wananunua dollar saivi dollar inazingia dunia nzima wananunua dhahabu .90% ya Marais hawajawah sikia neno ananuki
Tunawahifadhia wametu trick
 
Tunawahifadhia wametu trick
Si kweli nyingi inatumika kwenye jewelry na viwandani Jua hakuna laptop a computer isona dhahabu resever iliyopo duniani hawahihitaji ni ndogo .walipokuja walikuwa na technology kubwa kupitiliza walifanyisha wanadamu kazi hasa kwa miaka zaidi ya 10000 ndo wajenzi wa mapyramid kama ni wali maharage ilobaki ni punje za sahani za kulamba .
 
Tunawahifadhia wametu trick
Screenshot_20240419-180840.png

Unaona dunian 70% ya dhahabu imezagaa ni iko baharini au wamevaa shingoni serikali zote zinayo asilimia 30 na mzigo wa kuchimba ambao geological association ya marekan wanaamin haijachimbwa ni 20% Tu ya yote ilowahi kuwepo duniani .kifupi baada ya Miaka 200 hakutajwa na Mtu anachimba dhahabu..so wanatechnology kubwa usikute walimaliza yote hawatakaa warudi
 
Mimi nachojua dhahabu ya dunia waliyohitaji kuziba nyufa Huko nibiru walipokuja duniani walichukua asilimia zaidi ya 95 kwa hiyo iliyopo na wanadamu huwa walishamaliza kazi Yao na walifunga vilago vyao vyote na hawatakaa warudi milele
Bot kununua dhahabu ni Jambo liko dunia nzima ni economic back up.zaman walikuwa wananunua dollar saivi dollar inazingia dunia nzima wananunua dhahabu .90% ya Marais hawajawah sikia neno ananuki
kwanin %90 hawajawahi kusikia neno anunaki?
 
Kwa hiyo baada ya kazi yetu ya kuchimba dhahabu kuisha wameamua watuache duniani tunatangatanga...?
 
Nikisoma izo comment umu wengi wanajifanya wajuaji sana na great thinkers but deep inside akili zao ni matope .

Kama we ni msomi utakua unafahamu kuna vizazi viliishi duniani na kufanya mambo mengi ambayo wanasayansi wa leo bado hawaelewi vilifanyikaje. Vizazi hivyo mpaka leo viko wapi?? Kuna kizazi cha kina canaan mijitu mikubwa ilioishi na kufanya kiburi kwenye ulimwengu leo wako wapi?

Kuna wafalme waliotawala kwenye ulimwengu na walikua na nguvu kubwa hadi kujiita Miungu leo wako wapi.

Nyie fanyeni kiburi kwenye huu ulimwengu kwamba hakuna Mungu ila mjue kwamba mtakufa na baada mauti ndo utajua huyo Mungu yupo au hayupo.

Hii ardhi na mbingu hazikuumbwa ili watu waje wajifanyie tu watakacho.

Hawawi sawa wenye akili na wasio na akili, kama ambavyo hawezi kua sawa kipofu na anaeona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom