baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 2,989
- 3,739
- Thread starter
- #61
Mabaki ni hizo tablets /manuscripts ambazo zimegunduliwa , ANUNAKI walikuwa wanazikwa kwao NIBIRU sio duniani, wengine walizikwa Sayari ya MarsSawa,...
Na Je, apart from writings, kuna ushahidi wowote wa kuonekana(mfano mabaki ya miili ya hao ANUNAKI &Co's).
Lengo la kuuliza maswali haya ni kujua endapo hizo story ni valid 100%....?