Katika hali yoyote, Mwizi sio wa kuonewa huruma

Nahisi baada ya muuaji, dhambi inayotakiwa ifuatie kwa adhabu kubwa basi ni ya Mwizi.

Bila kuangalia kaiba kitu gani wala chenye thamani gani, maana thamani ya kitu inategemeana na hali ya mtu na umuhimu wa kitu.

Mwizi ni mwizi, hii mijitu sio ya kuonea huruma, popote nitakapo kuta kipigo cha mwizi, nitanunua kesi..

Hatuwezi kuhubiri masuala ya sheria mkononi na haki ya mtuhumiwa, haki ya mwizi ni kipigo cha haja.

Nasubiri kesi.
Shida itakuwa pale siku wewe au mtu wa karibu yako akisingiziwa ??? Ndo utajua maana ya natural justice
 
Wapuuuzi sana hawa jamaa.. Waliniibia kuku wangu wa kienyeji Banda zima.. Wakaacha vifaranga tu.. Hata sijui walimwachia nani..??
 
Nahisi baada ya muuaji, dhambi inayotakiwa ifuatie kwa adhabu kubwa basi ni ya Mwizi.

Bila kuangalia kaiba kitu gani wala chenye thamani gani, maana thamani ya kitu inategemeana na hali ya mtu na umuhimu wa kitu.

Mwizi ni mwizi, hii mijitu sio ya kuonea huruma, popote nitakapo kuta kipigo cha mwizi, nitanunua kesi..

Hatuwezi kuhubiri masuala ya sheria mkononi na haki ya mtuhumiwa, haki ya mwizi ni kipigo cha haja.

Nasubiri kesi.
Wezi wanaludsha sana nyuma
 
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0742757243
Screenshot_20240526_075054_Gallery.jpg
 
Kuua mwizi sio jambo la muhimu , kuna adhabu ambazo Unaweza kumpatia MTU zikaleta tija.

Siamini fikra duni.


Inategemea .
Kuna wakati mwizi anapaswa kupata ulemavu wa kudumu kama kukatwa mikono.

Lakini Sheria ni zao la wahalifu. Ndio maana wahalifu Wana Kinga kubwa kuliko wale wahanga.

Leo hii mwanafunzi akilawitiwa na mwalimu wake basi ni rahisi kabisa kwa Chama Cha walimu kumwekea wakili na hata kuitisha maandamano ya kumtetea mbakaji lakini hakuna popote utaona wakijitokeza watetezi na kumwekea wakili mtoto alixebakwa . Atajijua mwenyewe. Hata haki Tume ya Haki jinai bado imesimama katika haki za wahalifu bila kusimamia haki za wahanga na Wasimamizi WA Sheria.
Hawakuweka matingira ya kulinda watu wema na wahanga wa uhalifu dhidi ya wabaya.
Hata mawakili wanapenda zaidi kuhakikisha Mhalifu wa dhahiri ameachiwa huru wakati na sio mhanga . Ushindi wa mhaga kwa mawakili ni pigo kubwa sana.
Sheria ni kwa ajili ya watu waovu na zimetungwa na wahalifu au mawakala wao.
Sheria za haki ni zile za Musa pekee chini ya amri kumi kama Sheria Mama. Zingine zote ni za kuwaumiza Wanyonge na kuwabeba wahalifu wakubwa.
 
Kuna uwizi wa aina nyingi
Na kuna kuibiwa kwa aina nyingi
Pia,Ila mwisho wa siku uwizi ni uwizi tu

Ova
 
Back
Top Bottom