CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 922
- 2,795
Nahisi baada ya muuaji, dhambi inayotakiwa ifuatie kwa adhabu kubwa basi ni ya Mwizi.
Bila kuangalia kaiba kitu gani wala chenye thamani gani, maana thamani ya kitu inategemeana na hali ya mtu na umuhimu wa kitu.
Mwizi ni mwizi, hii mijitu sio ya kuonea huruma, popote nitakapo kuta kipigo cha mwizi, nitanunua kesi..
Hatuwezi kuhubiri masuala ya sheria mkononi na haki ya mtuhumiwa, haki ya mwizi ni kipigo cha haja.
Nasubiri kesi.
Bila kuangalia kaiba kitu gani wala chenye thamani gani, maana thamani ya kitu inategemeana na hali ya mtu na umuhimu wa kitu.
Mwizi ni mwizi, hii mijitu sio ya kuonea huruma, popote nitakapo kuta kipigo cha mwizi, nitanunua kesi..
Hatuwezi kuhubiri masuala ya sheria mkononi na haki ya mtuhumiwa, haki ya mwizi ni kipigo cha haja.
Nasubiri kesi.