Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,731
- 29,985
Unatoa mahari, unakandamizwa na sheria umhudumie kila kitu. Kisha mnaambiwa nyie ni sawa na akizingua unampa kiinua mgongo asepe.Wanawake janja janja nyingi sana sikuhizi.
Oooh nimezaa wayoto, kwani vile viuno vya kuisaka mimba na kuhudumia mimba na malezi nani analipia